Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,021
- 177,333
Miss you more dia!
Miss you more dia!
karibu katerero, kanazi, mugaza, ibwera....

Kipara gani tena jamani!Kipara ngoto![]()
Vyuo vingi vya bongo mazingira yake ya entrance yanafanana![]()







Aisee hongera ,keep inspiring us ...Heavy meals wakati mwingine ni muhimu, hakuna namna😆😆😆
Umenikumbusha miaka hiyooo...ilikuwa lazima kila siku ninywe mirinda nyeusi 2...moja mchana, nyingine jioni.
Ila tangu nimeweza kuacha soda hata hazinisisimui kihivyo...Dogo aliniletea zawadi ya Fanta last weekend nikanywa kidogo, nyingine ipo kwenye freezer mpaka leo 🥴🥴
Beautiful 😍😍😍😍😍Usiku mwema wana selfika!View attachment 2146147
Beautiful 😍😍😍😍😍
Utaenda liniAisee hongera ,keep inspiring us ...
Soda zipo addictive mno , unaweza kuta unakunywa hata tatu kwa siku .
Mie nikienda mjini lazima nipate ka juice au ice cream kwanza nipooze koo.
Huwa naskip lunch hivyo ikifika jioni njaa kama yote hapo inabidi nile chakula kingi nishibe wakati sio healthy kabisa..

Kweli nimeamini macho ndy Sura..usiku mwema nawe pia mremboUsiku mwema wana selfika!View attachment 2146147
Utaenda lini
Tena mjini
Tukapate soda
Tatu tatu
🤣🤣🤣🤣😜😜😜😜 unataka uone macho yangu dokta????Kweli nimeamini macho ndy Sura..usiku mwema nawe pia mrembo
Mambo ya kuwapa kipochi manyoya watoto
Dogo anakuambia mwili wote alikuwa anauskia unafanya hivi
Wakati wazungu wanamtoka![]()




wee chizi sana lolUnifahamishe
Nikipata nafasi nitaenda huko .
MsupuuiTunywele tumekubali View attachment 2146006




Will doUnifahamishe
Hebu nione selfie za jana dea. Plz yaanUna vituko sana![]()



Kaa hapo hapo usitoke!!Ndiyo!![]()