Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Heavy meals wakati mwingine ni muhimu, hakuna namna😆😆😆

Umenikumbusha miaka hiyooo...ilikuwa lazima kila siku ninywe mirinda nyeusi 2...moja mchana, nyingine jioni.
Ila tangu nimeweza kuacha soda hata hazinisisimui kihivyo...Dogo aliniletea zawadi ya Fanta last weekend nikanywa kidogo, nyingine ipo kwenye freezer mpaka leo 🥴🥴
Aisee hongera ,keep inspiring us ...
Soda zipo addictive mno , unaweza kuta unakunywa hata tatu kwa siku .
Mie nikienda mjini lazima nipate ka juice au ice cream kwanza nipooze koo 😅 .

Huwa naskip lunch hivyo ikifika jioni njaa kama yote hapo inabidi nile chakula kingi nishibe wakati sio healthy kabisa..
 
Aisee hongera ,keep inspiring us ...
Soda zipo addictive mno , unaweza kuta unakunywa hata tatu kwa siku .
Mie nikienda mjini lazima nipate ka juice au ice cream kwanza nipooze koo .

Huwa naskip lunch hivyo ikifika jioni njaa kama yote hapo inabidi nile chakula kingi nishibe wakati sio healthy kabisa..
Utaenda lini

Tena mjini

Tukapate soda

Tatu tatu
 
Back
Top Bottom