Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
acha aje ofisini kwanza.. 😎😎Hapo
Kimamba sio![]()
acha aje ofisini kwanza.. 😎😎Hapo
Kimamba sio![]()
Dogo Kile cheo Cha kusifia mapedeshee kwenye band utakimudu vema ,,,,,papaaa billdrago mutu ya watuBosi lediiii
Kwanza amekaa kiboss lady dadeqnyie
Boss ametupia hadi vocha za kitajiri za Voda
Leo anatupia Airtel
Dada wewe ni mtu na nusu![]()



Ndio umejiita jina baya hivyo?Dogo Kile cheo Cha kusifia mapedeshee kwenye band utakimudu vema ,,,,,papaaa billdrago mutu ya watu![]()
Dalili moja wapo ya uboss ledii ni kile kimalkia chake..Aaaaaaaaaah
Nipo chief 😁😁😁.. nasubiri kwanza aje ofisini haiwezekani siku zotee hizi kumbe mie ndio boss wake.. mwalimu wa nidhamu.. yeye staff wa kawaida na tayari nimepata barua ya maandalizi ya kuwa headmasterMtaalamu vipi![]()
Kweli?🤣Weka
Kila mwaka na jina lake..papaaa st Anne mushauri ya mungu,, unajaa bichwa unamwaga pesaNdio umejiita jina baya hivyo?
Hebu rudisha lilelile la bill bwana,sijakuzoea hivyo.
Rudisha kwanza halafu tutaongea lugha Moja.
Shikamoo bossMwee nini boss wako anakuita.. nitakuchomea utambi 😁😁😁
HahahahhaahaaaNipo chief.. nasubiri kwanza aje ofisini haiwezekani siku zotee hizi kumbe mie ndio boss wake.. mwalimu wa nidhamu.. yeye staff wa kawaida na tayari nimepata barua ya maandalizi ya kuwa headmaster
Marahabaa... na wiki ijayo utakuwa mwalimu wa zamu tena 😂😂😂Shikamoo boss
Ulipoamkia leoDalili moja wapo ya uboss ledii ni kile kimalkia chake..
Hapa bado sijaguza picha zake dadeq😍❤️🔥🔥
Nasema hivi;huyu dada ni mtu na nusuuuu🔥🔥🔥🔥🔥
Nipo chief.. nasubiri kwanza aje ofisini haiwezekani siku zotee hizi kumbe mie ndio boss wake.. mwalimu wa nidhamu.. yeye staff wa kawaida na tayari nimepata barua ya maandalizi ya kuwa headmaster



Ni kawaida ya maboss ledii.Adabu kama zote boss lady
Kwa Mshono upi?Kweli?
Ila nimemtunzia mtu mmoja tu Kwa lengo la kuujadili mshono
Team praise and worshipUlipoamkia leo

Kwa kweli; utafikiri yupo viwanja vya kina papa msofeTeam praise and worship![]()
Akina pedeshee ndama mutoto ya ngombe
Ndiyo msaidizi wa boss ladyNi kawaida ya maboss ledii.
Mitupio Yao unaona tu huyu ni boss,,nguo imemkaa yaani kiboss boss tu .