Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Sasa ningekupata wapi wakati ulizimia ukabebwa na machela baada ya timu ya kiumeni ya Pep kuwatandika mwanitesa Kwa kichapo kizito Cha bao 4 mkapoteana ndio mnarudi leoSaint Anne unajikausha Jana wanaume toka Italy wamewapa kitu kizito wew na genge lako la kihuni mmelala na viatu
Huyo ni uwanda wa makambako kuelekea mafinga.Unakaribia karibia kwenye ukweli...




Anne umeanza lini upambe lakiniBosi lediiii
Kwanza amekaa kiboss lady dadeqnyie
Boss ametupia hadi vocha za kitajiri za Voda
Leo anatupia Airtel
Dada wewe ni mtu na nusu![]()



!!!Sifai hata kugusa kiatu chake Kwa jinsi alivyo juu kule mawinguni.
Mafinga iko ndani ya Mufindi.Bado kiduchu...
Hivi Mafinga ipo ndani ya Mufindi au Mufindi ipo ndani ya Mafinga ?
Pep ashaniharibia mdogoSifai hata kugusa kiatu chake Kwa jinsi alivyo juu kule mawinguni.
Anang'aaa na rangi ya mtume wetu...alivyo mlaini sasa hakuna shaka kabisa asilimia zote huyu ni mwanamke wa shoka😀
Umepatia mama malezi.Mafinga ipo ndani ya Mufindi (kama sijatoa Boko)
Kawaida yangu.Anne umeanza lini upambe lakini!!!
Sasa ningekupata wapi wakati ulizimia ukabebwa na ma Hela baada ya timu ya kiumeni ya Pep kuwatandika mwanitesa Kwa kichapo kizito Cha bao 4 mkapoteana ndio mnarudi leo
View attachment 2144331


wew na wachambuzi wako UCHWARA kule jukwaani kwenu leo kimya 
...sisi tupo kwenye rebuild Ni special Case right nowUnataka kuniambia nini dogo
Kumekucha…
It’s WCW
Siku zipo na kispeed cha subi![]()





ndyooooh, nataka kukuambia kuwa punguza kunichamba lol. Hahahaaa.. unanijaza tu mtakatifu!! Usiwaze nivile tu sina namba zenu mbona ningekua nawasaprize ya lunch!!!!🤣😂😜Kawaida yangu.
Sema nilienda tu likizo..
Sasahivi nitakuwepo hapa full time,,kikubwa boss ledii Mungu akutie nguvu ya kutuwezesha bando .
Vitu kama bando ni vitu vidogo sana kwako😍🥰❤️❤️❤️❤️❤️🤗🤗🤗
Mjep shkamoo.
Nikiwepo mimi hieki vocha,nikitoka unaweza!
Unataka nizipate wapi sasa?au unataka niwe kibaka![]()








Sisemi uongo ndugu yangu.Pep ashaniharibia mdogo
niambie kizazi cha Diamond![]()




nipo fresh, ila ni hater mkuu wa domo mie, uwiiiiihNimesema Mimi huyu dada siyo tu kwamba ni boss lady,Bali ni mtu na nusu na kipande pia🔥❤️Hahahaaa.. unanijaza tu mtakatifu!! Usiwaze nivile tu sina namba zenu mbona ningekua nawasaprize ya lunch!!!!🤣😂😜