Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Naam mkuu! Kila mtu anayepita maishani mwetu ana kazi yake. Ukilitambua hili hutamng'ang'ania mtu abakie maishani mwako ilhali pengine kazi aliyotumwa kuitimiza keshaimaliza. Yote ni kumshukuru Mungu tu na kusonga mbele.

Nguruwepori hoyeee !!!
Kabisaa kiongozi.
Kila kitu hutokea Kwa sababu aisee.

Wasitutenge manguruwe pori jamani
Nawasimanga nguruwe pori wakati hata Mimi nahisi nilikuwa kundi la nguruwe pori
 
Wanaume leo tumeitwa nguruwepori - jina baya kabisa na lenye kudhalilisha sana dah! Wanaume tunakwama wapi?

Njooni tukae kikao tujadili hili suala aisee maana siyo poa!
Sio wote yulee tuu!!wengine wazuri Sanaaa!
Wanaume wazuri wapo wengi sana tu ktk uso wa ardhi na mangurue pori yapo mengi tu!!!!
Wale wazuri tunawapenda afu tunawapenda tena yaani!tunawapa mahaba kama yotee
 
Naam mkuu! Kila mtu anayepita maishani mwetu ana kazi yake. Ukilitambua hili hutamng'ang'ania mtu abakie maishani mwako ilhali pengine kazi aliyotumwa kuitimiza keshaimaliza. Yote ni kumshukuru Mungu tu na kusonga mbele.

"Nguruwepori" hoyeee !!!
Uzee dhahabuu!uko vzr kwenye ushauri
Mama terry anasomwa kwakoo!!!

Oyeeee
 
Yah ni kweli mkuu
Sometimes mtu anapita sehemu ili kuandaliwa kupokea yaliyo mema.

Wengi huwa hawajui,,,kumbe Mungu anaandaa mtu aweze kuwa bora kabla hajapokea kilicho bora,maana ukipokea kilicho bora mapema kabla hujajiandaa nankugundua kuwa ni bora pengine usingekithamini kama unavyokithamini ulipopokea Kwa wakati sahihi.
Umemaliza kabisaaa!!!ukija Dom wandai kuku wa Tango bar
 
Back
Top Bottom