Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Umepitwa sanaaaa
Samahani imepokelewa !! Nami nakuomba ufute hayo unayofanya mambo ya ajabu sana !!




shouzz bhana lol.Hongera kwa maisha mapya hayo mkuu
Jana imebidi nionje baada ya kuahidiwa 10k kwa kila fundo la bia ntakalobwia
Unakunywa pombe?

Niwaambie hiyo picha siyo yako![]()
nitakusemea kwa kaka mzuri unanichokozaUsijesababisha tukashindwa kula nyamabasi sawa kama hutaki kucheki six park
Yeah, it is! Sema nini..kuna nyakati unatamani kale ka uhuru...badae tena ndio hivyo.But it's worth it
Shingo imefanyaje madam...sijui kutofautisha features za makabila.Umeangalia shingo!!!!!
Mnajua kutunza miili...Married with 2 kids! Hongera sana kuwa na mihela
Nakusalimia mwanasaikolojia uchebeShingo imefanyaje madam...sijui kutofautisha features za makabila.
Hahaha, unanisingizia sis darling!Nakusalimia mwanasaikolojia uchebe
Douta nadhani dingi atafurahi na kukubariki balaa akikwea hiyo ndinga. Fanya chap nipande dude hilo asee!!Pops![]()
Teh upo vizuri kwenye saikolojiaHahaha, unanisingizia sis darling!
Niko poa kabisa, mambo yako?(najua hizi salam kwa wapendwa sio nzuri sana)
Hakuna mtakatifu, Ila unaweza kuwa unajitahidi kuliko mimi..mara 100.Teh upo vizuri kwenye saikolojia
Mambo yangu fresh kabisa. Hivi unanionaga mtakatifu eeh?
Haha siyo kupanda tu uje uliendeshe kabisaDouta nadhani dingi atafurahi na kukubariki balaa akikwea hiyo ndinga. Fanya chap nipande dude hilo asee!!

