Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
Eeh nicheki nikufanyie mafekechee.. si unajua tena sie ndio sie watoto wa viungo vya Kiev 😔😔 tulio na uchungu na mipaka yetuKweli aisee
Ni njia rahisi kuingia Ulaya![]()
Eeh nicheki nikufanyie mafekechee.. si unajua tena sie ndio sie watoto wa viungo vya Kiev 😔😔 tulio na uchungu na mipaka yetuKweli aisee
Ni njia rahisi kuingia Ulaya![]()
HahaEeh nicheki nikufanyie mafekechee.. si unajua tena sie ndio sie watoto wa viungo vya Kievtulio na uchungu na mipaka yetu

Nikusanyie kusanyie na wengine hapo kitaaa.. Mideko kaisha niletea watu ila yeye naona kama hataki.. namfanyia mpango aende Russia 😁Haha
Nitakutafuta unifanyie mpango
☺️☺️ unapewa nyumba, ajira ya jeshi permanent na kiasi cha kuanzia maisha nicheki dm.. nikupe mchongo wote..Tandale kumenoga 😂😂😂😂 huko hakuendeki
Safiii... mtu chake sijamuona leo,Ondoa shaka Uncle
Nitajitahidi
Niwaambie hiyo picha siyo yako 🤣🤣🤣Hata kama kuna vita tusiache kunywa bia jamaniView attachment 2133410
katekwa itakuwa tena mketo mbaya sana..Na siyo kawaida yake ..
Labda yuko busy
Ugali mtamu 😊😊😊☺️☺️ unapewa nyumba, ajira ya jeshi permanent na kiasi cha kuanzia maisha nicheki dm.. nikupe mchongo wote..
😃😃😃😃 Ugali na hela kipi kitamuUgali mtamu 😊😊😊
Haha ngoja ajekatekwa itakuwa tena mketo mbaya sana..
Samahani imepokelewa !! Nami nakuomba ufute hayo unayofanya mambo ya ajabu sana !!Bado kuna baadhi ya wanaume wameamua kuwa mashoga hivi nyinyi wanaume mashoga mna akili kweli ?
CHEKI MTOTO HIYO SHINGO
mahondaw
Nimevamia uzi samahani jamani
View attachment 2134220
Inategemea mtu na mtu☺😃😃😃😃 Ugali na hela kipi kitamu
Hahaha wewe jamaa

😃😃😃😃 hela tamuu bwanaaa.. ebu kosa hela uone kama huo ugali utakuja hata mezaniInategemea mtu na mtu☺
Nishafanya hivyo MamaSamahani imepokelewa !! Nami nakuomba ufute hayo unayofanya mambo ya ajabu sana !!