Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Screenshot_20220223-214504.jpg
 
Kamanda Pep tangu apigwe na kitu kizito siku ile akina Wigelekelo wakawa wanamcheka naona kapotea jumla. Watu wafuatilie kama yuko salama huko aliko
🤣🤣

Wige hana madhara mzee mwenzangu,

Anasaga kunguni hapa tu kwenye keyboard ila behind huko ni mmoja kati ya jopo la watanzania linalotuombea

Ubarikiwe sana mtumishi mwenzetu Wigelekelo
 
Kina Wige wavimba macho tu

Baba Mtumishi anashikilia jimbo lake, na hana mpinzani
Shem dada nilibarikiwa kupokea ujumbe wako.

Kumbe shem wangu nae ni moja ya creatures wachache walioumbwa asubuhi.

Mapema tu baada ya chai akafinyangwa!

Anyway, itoshe tu kusema baba mtumishi mwenzangu huko anapumzika pazuri huku akila mema ya nchi 😇
 
Shem dada nilibarikiwa kupokea ujumbe wako.

Kumbe shem wangu nae ni moja ya creatures wachache walioumbwa asubuhi.

Mapema tu baada ya chai akafinyangwa!

Anyway, itoshe tu kusema baba mtumishi mwenzangu huko anapumzika pazuri huku akila mema ya nchi 😇
Igweee Igweee Igweee Igweee Igweee Igweee.

Aisee karibu tena shem lake, kwa kweli nimepata raha kukuona hapa. Achana na ule ujumbe, una tabia ya kufisha. 🤣🤣
 
Umeupiga mwingi😂😂😂😂😂

Hebu taja sifa zao🤣🤣🤣


Halafu wanaume ni walevi hao,vifupi nyundo na uchawi kwa mbaalii
Wana ka ushamba flani,walevi afu siyo wajanja kama wale wenzao walevi wa kaskazini.



Ila ni wachapakazi
Daah, yaani mtu mmoja huyo huyo ni mchawi, mlevi, sio mjanja, mshamba halafu mfupi...

Hakunaga, hawa ni watu wako umewaunda mwenyewe 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom