T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,931
- 30,077
!!
Shauri yako umepoteza bahatiKumbe na wewe ni Muhandsome eeh!!.
Au ndio kwa vile tushaachana![]()

poapoa will be here waiting!!Vizia ile mida yetu mkuu nashusha mzigo live bila chenga
iliyo full bado!Wee!hujawahi!!![]()
Shauri yako umepoteza bahati![]()
🤣🤣🤣🤣Shauri yako umepoteza bahati![]()
Mhh una uhakika nalewa?
A wapi!
Bahati gani sasa mtu unalewa kwa pombe mchanganyiko kama mkemia vile

Kajaribu kujifanya baunsaNani anitengue?![]()
😀😀😀😀 asee tupo mahala pamoja hii code muhimu kweli kweli.. imetosha imetosha
Sio mzushi, nimekuja na sijaondoka mpaka leo.Mzushii
mala moja moja jirani tuwe tunatembeleana 😁😁😁😁 na kupeana salama kama tumeamka salama
Wee!mda huu siwezi kutoka Niko kijijini kwetu!ht hapo liquid sipajui!!mgeni unajua mji kuliko mwenyejiiSio mzushi, nimekuja na sijaondoka mpaka leo.
Njoo liquid hapa umuone Liver ana nyonyoa mtu.



Kwanza naanza kumtandika chelsea yake leo,mimi liver mbabe😁Kajaribu kujifanya baunsa
Unajifungiaje ndani kama utumbo we mama.Wee!mda huu siwezi kutoka Niko kijijini kwetu!ht hapo liquid sipajui!!mgeni unajua mji kuliko mwenyejii![]()
Usitake kunambia zile pombe zote hazikukolei!Mhh una uhakika nalewa?![]()
Maisha ya jf tuUsitake kunambia zile pombe zote hazikukolei!
Dunia haiishi maajabu aisee
Huwa panawaka sanaa 😃😃😃😃😃Aahahahahahhahaaaa loooh.....!!
🙌🙌🙌
Utafaidi sana maana wageni waingiapo huleta baraka ndani.. so lazima mgeni afurahishweee 😊😊😊Jiraniiii....!😊😉😉
Tuanze hili zoezi rasmi mwezi wa tatu...!
Nnavyopenda kutembeleana mie, usije ukanichoka tuu 😅.