Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Habari ya Asubuhi Uncle
Habari ya Asubuhi Uncle
Jaguar haiwezi kuwa mkangafu mkuu. Mikangafu ni kama hichi ki-Corolla changu cha 2008...Mie myarwanda mkuu nilie hamia tanzania miaka hiyoo
.. nimejisahahu nikafikiri tupo kwenye jukwaa letu la magari huwa tunapena tu uzoefu wa mikangafu tunayotumia
Hahah dah pole Sana hayo maeneo ukionekana wao ni fursaacha weee nimerudi room saa moja asubuhi.. kama barmaid vilesema leo imekuwa chungu kweli muuza mshikaki alinidhulumu jero tumewashiana kidogo nimchape mikono..
.. nimekaa pale kumbe wadada wezi wameniibiaje sijui hela kangu roho imeniuma hadi usingizi sijapata.. pale sirudi tena
hahaha! corolla ya ulaya ni moto sana.. hiyo kwa uzuri hata mkangafu haiuingiiJaguar haiwezi kuwa mkangafu mkuu. Mikangafu ni kama hichi ki-Corolla changu cha 2008...
View attachment 2123756
wamesikitisha sana, wame niuzunisha sana.. ilikuwa ni hela yangu alafu ya matumizi nimetoka kuitoa kwa wakala ili asubuhi nisipate shida.. 😌😌😌Hahah dah pole Sana hayo maeneo ukionekana wao ni fursa
Uncle hujaenda jumuiya 😃😃Habari ya Asubuhi Uncle
Hbd Komando wetu
Ilikuwa kuwaje?wamesikitisha sana, wame niuzunisha sana.. ilikuwa ni hela yangu alafu ya matumizi nimetoka kuitoa kwa wakala ili asubuhi nisipate shida..![]()

Sijaenda MjombaUncle hujaenda jumuiya![]()
Pole sana rafikiwamesikitisha sana, wame niuzunisha sana.. ilikuwa ni hela yangu alafu ya matumizi nimetoka kuitoa kwa wakala ili asubuhi nisipate shida..![]()
sijui wametumia mbinu gani yani, nilitoka kukwaruzana na mchoma nyama, nikasema acha niende kuchukua maji .. naenda counter naangalia mfukoni kitu hamna shekeli.. nahisi pale wakati tunazona kulikuwa na wadada nao walikuwa na yao nahisi ile trust ya wadada kujibana bana wakati wa mzozo ndio nimepigwa hapo na sikuwa makini sikuwa na hofu au wazo la kupigwaaIlikuwa kuwaje?
Ulilewa kupita kiasi au wameichomoa ukiwa macho na akili zako?
Pole aisee![]()
Ohoooo 😎😎😎Sijaenda Mjomba
Nitaroga mtu, wao hawakuza kama mia tano kidogo nimchakaze mtu, sasa hiyo walio iiba si ndio ningenyonga kabisa mtu 😵😵😵Pole sana rafiki
Hela inauma aiseeNitaroga mtu, wao hawakuza kama mia tano kidogo nimchakaze mtu, sasa hiyo walio iiba si ndio ningenyonga kabisa mtu![]()
😵😵😵😵 acha tu sitoki tenaHela inauma aisee
Ni maeneo yale au jana ulitoka kwingine ?
Eeh inauma ila utatoka tu baada ya maumivu kupoa .acha tu sitoki tena
Karibu uncleEeh inauma ila utatoka tu baada ya maumivu kupoa .
Mie myarwanda mkuu nilie hamia tanzania miaka hiyoo
.. nimejisahahu nikafikiri tupo kwenye jukwaa letu la magari huwa tunapena tu uzoefu wa mikangafu tunayotumia
