Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Umefuraaahiii🤣
Umefuraaahiii🤣
Mvimba macho😂😂😂🙌Aisee
Asante kwa kusifia haya madole yangu😂Dadaake mtu
Una vidole
Mwanana sana
Yaani vipo bien
🤣🤣🤣🤣Acha ukorofi
Yaani soda hizi
Zinazoleta kifaduro
Na utapiamlo wenye kisukari
Unafananisha na bia
Kweli
Umeenda kuwaje lakini![]()
Muda huo picha yako iko wapi?Kwamba hawalioni tumbo lako kwenye picha?
Aisee nilikuwa sijui😂😂😂Kwamba hujui hilo au?
Mara wamempiga helaSema
Ulikuwa unamsoma
Kimya kimya
Kakaako jana
Alitiririka mno
Mara komamanga
Sijui asali mbichi
Eti
Unacheka nini sasa?🤣
🤣🤣Juzi kuna mtu kaniambia 'msalimie baba kijacho'
Japo anazo nyingi tu ila alizopigwa siku ile na barmaids zilimuuma sana mpaka nikamhurumia yaani. Safari nyingine sidhani kama atakubali tena kuegemewa na kushikwa shikwa na barmaids aiseeMara wamempiga hela
Mara alitaka kuzirusha ngumi
Yaani nilicheka sana.



Baridi linapuliza eeeh!?
❄️❄️❄️Baridi linapuliza eeeh!?
Kumbe aliegemewa😀Japo anazo nyingi tu ila zile hela za siku ile alizopigwa na barmaids zilimuuma sana mpaka nikamhurumia yaani. Safari nyingine sidhani kama atakubali tena kuegemewa na kushikwa shikwa na barmaids aisee![]()
Apigane wapi? Mikwara tu ya keyboard hiyoKumbe aliegemewa
Alizingua sana.
Ila nilicheka sana aliposema anataka kupigana![]()









Nani kamuona lucchese?? 


Nikabaki tu kusonya chinichini...we mwehu nini baba kijacho yupiJamani![]()



Japo anazo nyingi tu ila alizopigwa siku ile na barmaids zilimuuma sana mpaka nikamhurumia yaani. Safari nyingine sidhani kama atakubali tena kuegemewa na kushikwa shikwa na barmaids aisee![]()
