Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,547
- 88,538
Hapo kwenye uchawi hapooo! Wala siyo "kwa mbali" bali sanaaa!Umeupiga mwingi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu taja sifa zao[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu wanaume ni walevi hao,vifupi nyundo na uchawi kwa mbaalii
Wana ka ushamba flani,walevi afu siyo wajanja kama wale wenzao walevi wa kaskazini.
Ila ni wachapakazi