Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,487
Hapo kwenye uchawi hapooo! Wala siyo "kwa mbali" bali sanaaa!Umeupiga mwingi
Hebu taja sifa zao
Halafu wanaume ni walevi hao,vifupi nyundo na uchawi kwa mbaalii
Wana ka ushamba flani,walevi afu siyo wajanja kama wale wenzao walevi wa kaskazini.
Ila ni wachapakazi





