Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ni hawa wa kishua waliokulia mijini. Hovyo tu . Binti yangu kakulia nje lakini nimepambana kuhakikisha kuwa anakifahamu Kisukuma vizuri kuliko hata Kiswahili. Na hapa tunapoongea anakamilisha kitabu cha watoto kwa Kiingereza kuhusu hadithi za mashing'weng'we. Na zote alisimuliwa na bibi yake tena kwa Kisukuma kile cha ndani kabisa.

Ni aibu sana kwa Msukuma kwa kutofahamu Kisukuma
Kwahyo babu wataka niambia kuwa sisi wakina masalago tusiojua kisukuma ni hovwess

Sent using Jamii Forums mobile app
 
😁salamu zimefika
Save na hiyo🤣

View attachment 2125346
Hii tayari nimeisave.Please naomba nyingine.😂
20220220_193355.jpg
 
Huu ni unyanyapaaji sasa kisa nimekiri sikijui.Nyie wenyewe kiswahili mnaandika kibovu
Mkuu naona umedandia treni kwa mbele. Mimi nilikuwa najaribu kumchokoza/kumfikirisha Gregory 2000 hapo juu

By the way. Kiswahili siyo lugha yetu ya mama hivyo hata tukikiboronga ni sawa. Kamwe usimcheke mtu kwa kuboronga lugha ambayo siyo yake. Unachopaswa kufanya ni kumwelewesha tu tena kwa upole na heshima
 
Mkuu naona umedandia treni kwa mbele. Mimi nilikuwa namchokoza Gregory hapo juu

By the way. Kiswahili siyo lugha yetu ya mama hivyo hata tukikiboronga ni sawa. Kamwe usimcheke mtu kwa kuboronga lugha ambayo siyo yake. Unachopaswa kufanya ni kumwelewesha tu tena kwa upole na heshima
Sawa.
 
Back
Top Bottom