Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ninasema ukweli mbele ya Heaven Sent mimi sina utaalamu wowote ila nasikiaga vijana wakisema zigo la kuvunja chaga, nadhani ndio kama hili.

Mkuu kwema?

Screenshot_20220210-071312_Gallery.jpg
 
Huwa nafika muda nywele zinanichosha, nanyoa, narudi zangu kwenye rough dread (imekuwa style yangu ya miaka mingi), ila sasa hivi nataka nitafute style nzuri tu ya kunyoa na bleach langu amazing. Nikiwaza bichwa langu sasa, na faza hauzi sijui atasemaje
Mimi hata sijui nilinyoaje jamani
Na sura zetu hizi
 
Huwa nafika muda nywele zinanichosha, nanyoa, narudi zangu kwenye rough dread (imekuwa style yangu ya miaka mingi), ila sasa hivi nataka nitafute style nzuri tu ya kunyoa na bleach langu amazing. Nikiwaza bichwa langu sasa, na faza hauzi sijui atasemaje
Mimi sijui kwanini huwa naamini bichwa langu zuri,ninyoe nisuke sawa tu..
Ila bleach kwa kweli siwezi kutia kichwani kwangu.
 
Back
Top Bottom