Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Ngoja niibe hii
Ngoja niibe hii
Thanks babeBeautiful![]()
NijuteeeNakazia kwenye serious
Mavidole yangu mapana hivyohivyo siku zote.Nimenenepa mashavu 🤣 gauni isikuchanganye dogo…
Nakuona ulivyonenepa mpaka vidole
Emu tuone 😜😜Mavidole yangu mapana hivyohivyo siku zote.
Ukiona na liunyayo la mguu unaweza dhani bonge la mtu,kumbe!🤣
OohhMe mpogoro, madam, ila sijakulia Morogoro wala sifahamu kipogoro kabisa, Morogoro nimeishi tu wakati nasoma chuo kikuu (Sokoine "AGE")


Wow alafu una nywele nyingi pia 😍
Credit to movit ya njano 😛Wow alafu una nywele nyingi pia 😍
Mimi nilikua naogopa kunyoa nilikua najua kakichwa kangu kadogo nitatisha. Sasa hivi nimenyoa na naenjoy nywele fupi balaa. Wig navaa ofisini tu nikirudi mtaani na nazurura na nywele fupi kama kaw
Wow jamani na mim nitanyoa nimehamasika 😍Mimi nilikua naogopa kunyoa nilikua najua kakichwa kangu kadogo nitatisha. Sasa hivi nimenyoa na naenjoy nywele fupi balaa. Wig navaa ofisini tu nikirudi mtaani na nazurura na nywele fupi kama kawaView attachment 2114826
Emu tuone sahivi 🤩Ngoja nitajaribu kujilipua maana natamani sana kunyoa kwakweli
Mmeni hamasisha namim pia nitanyoaCredit to movit ya njano 😛
Nitaleta mrejesho now nipo na Hijab tuuEmu tuone sahivi 🤩
Wow jamani na mim nitanyoa nimehamasika![]()
Fanya hivyo. Kama uko Dar naweza kukuelekeza sehemu niliponyoa. Wananyoa vizuri kwa kweliWow jamani na mim nitanyoa nimehamasika![]()
Emu tulione kabla SA hajajaUjue na mimi leo nimeamka na mawazo ya kunyoa; naona kama hawa wapendwa wamenihamasisha na hili bichwa langu refu kama UDA
Unajua ume nichekesha sanaa 😂😂😂Ujue na mimi leo nimeamka na mawazo ya kunyoa; naona kama hawa wapendwa wamenihamasisha na hili bichwa langu refu kama UDA