Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,016
- 177,327
Lol aliekuteka kakuchanganya kiasi hiko mweh!!mambo mengi rafiki
Lol aliekuteka kakuchanganya kiasi hiko mweh!!mambo mengi rafiki
Hata upepo nao uvumeJana ilikuwa siku nzuri sana kwangu na leo ikawa extra deep.. nzuri sana..kuna wimbo wa Rehema Simfukwe jana na leo na sasa ukawa una make sense sana kwangu...
hahahaha,'kajamaa' 'kapole' hahaha, usijali rafiki
nipo hapa nasikiliza mda huu.. 😊😊😊Hata upepo nao uvume
Mimi nitakuabudu wewe
(Ooh Yesu Yesu)
Chanzo cha uhai wangu nakuabudu
Hata giza nalo litande
Mimi nitakuabudu wewe
Chanzo cha uhai wangu nakuabudu
Nakuabudu Nakuabudu
Wewe ni chanzo cha uhai wangu
Nakuabudu Nakuabudu
Wewe ni chanzo cha uhai wangu
Nakuinua Nakuinua
Wewe ni chanzo cha uhai wangu
Nimejifunza kudhiliwa na kufanikiwaHata upepo nao uvume
Mimi nitakuabudu wewe
(Ooh Yesu Yesu)
Chanzo cha uhai wangu nakuabudu
Hata giza nalo litande
Mimi nitakuabudu wewe
Chanzo cha uhai wangu nakuabudu
Nakuabudu Nakuabudu
Wewe ni chanzo cha uhai wangu
Nakuabudu Nakuabudu
Wewe ni chanzo cha uhai wangu
Nakuinua Nakuinua
Wewe ni chanzo cha uhai wangu
Hata giza nalo litandeHata upepo nao uvume
Mimi nitakuabudu wewe
(Ooh Yesu Yesu)
Chanzo cha uhai wangu nakuabudu
Hata giza nalo litande
Mimi nitakuabudu wewe
Chanzo cha uhai wangu nakuabudu
Nakuabudu Nakuabudu
Wewe ni chanzo cha uhai wangu
Nakuabudu Nakuabudu
Wewe ni chanzo cha uhai wangu
Nakuinua Nakuinua
Wewe ni chanzo cha uhai wangu
Ninajua udhaifu na kuwa na afyaHata giza nalo litande
Mimi nitakuabudu wewe
Chanzo cha uhai wangu nakuabudu
Ninajua kupendwa, na kukataliwaNinajua udhaifu na kuwa na afya
Katika yote wewe Bado Mungu
Ninajua kupendwa, na kukataliwa
katika yotee, wewee bado Mungu![]()
Nipo hapa kimyakimya.Kimya humu mmelala!!!!??? ??
🤣🤣🤣🤣🤣 Kumbee!!Nipo hapa kimyakimya.
Mi sifahamu wewe ukoje ila nasikiaga tu kuwa watu wapole/wakimya wengi tunaambiwaga kuwa tuna dharau hata mimi mwenyewe sijawahi kujiona kama nina hizo dharaudah.km niko hv nitajirekebisha rafiki


Nipo poa rafiki selfika basii
Tupia sasa Mimi huwa ntatupia sana mbona
Mi mzima pole vumilia ndio mama tuliye achiwa na baba mpende tu siku ziendeSiipendi hiyo salamu kama nisivyompenda mama wa kambo
Mzima lakini?


Yeah ni ukimya wetu tu ndiyo hufanya tuonekane tuna dharau na tunaringa kumbe siyo kweliSasa sijui ni Ukimya wao ndo unawafanya waonekane na dharau…![]()

