cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,303
Soon tyuuh, afu ni mwanafunzi wako sasaVikao vinaanza lini?




Soon tyuuh, afu ni mwanafunzi wako sasaVikao vinaanza lini?




Mie ndo napitwa tyuuh saivIrudiweeee irudiwe depal nifanyie saivi wengi hawapo jamani!





Hahahaaa.... shortly asiwe na mambo mengi! Afu ajue kudekeza make kwa kudeka tu aaaaggghh sijambo! Mimi mambo ya kijeshi jeshi umafia aisee hapana kabisa!







Kheeeeeeh vimini tena? Yameanza lini?

Acha kumsingizia shetani ujueutanionea kipenzi. Shetani anataka kunivuruga
Hebu jaribu bahati yako tuoneUmetoa boko.. acha mie nimention vyako hapa 😀😀
Ndiwoooo si unajua tena shos 🤸🤸🤸!!![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
wacha wee.![]()
📌📌📌📌📌acha aniteke.nitakua salama
Unacheka nini sasa.nasubiri utoe jibu la swali ujuehahahaha
Kwanini dada mzuriHahahaaa... Mbona tulishakubaliana ile mchana injinia inaturudisha nyuma ujue! Huyo simuweziiiii 😜😜
😜😜😜ok siwezi kubisha
Acha kuzugatulikubaliana vp ? Nikumbushe
Ndo yakufanye usahau mlivyokubaliana😀mambo mengi rafiki
🤣🤣🤣Kuhusu wewe 😀😀, una beza mambo yanayo onekana complex, hupendi kujishulisha na issue complex, una ka uvivu flani 😊😊😊, una huruma sana japo sio mwepesi kutoa chozi 😀😀😀. Hupendi masumbufu.. upo selective katika watu.. huna kiburi.. chakula.. naendelea kutililika tu 😂😂😂
mtu chake naomba maoni yako hapa kipenziKuhusu wewe 😀😀, una beza mambo yanayo onekana complex, hupendi kujishulisha na issue complex, una ka uvivu flani 😊😊😊, una huruma sana japo sio mwepesi kutoa chozi 😀😀😀. Hupendi masumbufu.. upo selective katika watu.. huna kiburi.. chakula.. naendelea kutililika tu 😂😂😂
Hiyo ngoma itakupigisha sound tu🤣🤣🤣🤣🤣 ✌️✌️✌️✌️✌️ najua humu tunataniana rafiki 🤩🤩😘😘!! Selfika basi!!