eminent luxy
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 343
- 358
Nine miss kupikia mtoto wa mtu chakula kizuri








Hongera sana mkuu, kweli muda kidogo ila usijali tupo pamoja mkuu, cha msingi afya boss wangu kama upo vizuri sote tupo vizuri inatosha tunamshukuru MunguNimeshapona kamanda. Asante sana aisee. Nawe umepotea sana hapa. Natumaini kila kitu kiko salama. Mungu ni mwema![]()
Sina kwangu!!Kwenu ya wapi?
Nataka kwako mie,kwani yule hawezi yapika ya nazi???
ahsante.rafiki nishapoa.mambo vp lkn!pole rafiki
Achia achia basi ziba pua tuJumaa MubarakView attachment 2090116
HaramuAchia achia basi ziba pua tu
Mungu ni mwema yanaenda Vizuri..ahsante.rafiki nishapoa.mambo vp lkn
Kwahiyo unakubali wanikandamize😒Hapa sitii neno
Nawategemea sana kwenye negotiation ya mahari 😉
safi.leo jumaa kareem,au furahi day, mchana birian au mandi?Mungu ni mwema yanaenda Vizuri..
Wape basi ili waache kuninyanyasa😌Usiwape picha
![]()