Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,973
- 177,194
Ipi hio??? Hebu nikumbushe!Basi tupia ile ya jana, imenibamba kinoma!!
Ipi hio??? Hebu nikumbushe!Basi tupia ile ya jana, imenibamba kinoma!!
Ipi hio??? Hebu nikumbushe!



Hahaha...si tayari unayo!!
Ngoja nikuangalizie nyingine yenye hio background!
Uliifuta haraka sana kama uliwekwa mafuta!Hahaha...si tayari unayo!!















Hahaa.. unaipenda hio background eehh??Uliifuta haraka sana kama uliwekwa mafuta!![]()
Mvua inaupiga mwingiMvua Mvua Mvua Mvua!
Hii mvua ni nzuri KWA...malizia!
![]()
Mimi huna haja ya kuniambia kuwa kuna kitu hakiko sawa. Ukiwa na kitu kinakukera nitajua tu...na tutakitatua kwa pamoja. Ndiyo maana ya urafiki Boss LadyKwamba no bashasha kabisa nowdays!!!!!! Hata mimi nimeliona hili.


Nimeshapona kamanda. Asante sana aisee. Nawe umepotea sana hapa. Natumaini kila kitu kiko salama. Mungu ni mwemaMkuu ulipatwa na masahibu pole sana nimeiona late natumai kwa sasa upo poa, hakika pole yangu haijachelewa.. Uwe na afya njema daima



Background na mwenye picha yake kwenye picha yake!!Hahaa.. unanipenda hio background eehh??
Ukizubaa tu baby shower OktobaMvua Mvua Mvua Mvua!
Hii mvua ni nzuri KWA...malizia!
![]()



Nashukuru kwa kunifahamu rafiki. Uzuri ushanotice kumbeMimi huna haja ya kuniambia kuwa kuna kitu hakiko sawa. Ukiwa na kitu kinakukera nitajua tu...na tutakitatua kwa pamoja. Ndiyo maana ya urafiki Boss Lady![]()
!Sema ni nzuri kwa ku.....Mvua inaupiga mwingi
Nyanj upo mzee?Imenipeperushia ndege wangu hapa Kitambaa Cheupe!!!
Ndio baraka zenyewe hizo eti
Kulala usingiziSema ni nzuri kwa ku.....
Kwenu ya wapi?Lini twende kwetu ukapikiwe ya nazi na nyama, then nikusikie kama utayaongelea tena!!
mtu chake ushaingia lindo??
dah nitamiss vitu vingi sanaHahaaa..hata sina picha mpya leo afu nimepumzika kuselfika kwa muda.![]()