Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Wenye ahoka wameshindwa, anakuja na panga anajisumbua
Atakutana na kisiki cha mpingo
Atakutana na kisiki cha mpingo
Tatizo hivi vibinti vinaona dili kuonekana vikubwa kwa kaka na dada zao! Ila vinasahau kuwa uzee ni real! Vikifika kwenye 32 vinageuza namba visomeke 23!![]()
Nasoma sana biblia, iisipokuwa huwa siweki alama yoyote wala kuandika chochote, kwasababu huwa mda wowote huwa nagawa biblia zangu.. pale ambapo naona mahala kuna uhitaji.. hapo imelala from mwazno to ufunuo nakuwaga narudia rudia tu![]()
Vinadhani havitazeeka shwain zao
Naomba mikwambie tu..mimi na big sisy Heaven Sent tunamkubali mno shemeji yetu Pep .hiyo ni taarifa fupi tu
Wewe wa sitini na ngapi?Sawa basi, na wewe ni mhenga mwenzetu![]()
Nakumbuka vizuri sana, so you think Nitajiexpose kwa kutaja umri wangu sahihi nionekane mzee! Forget it!!
Nikirudi nitakutafuta binti![]()


ooh sawa...na hapa ni hivyo hivyo. Khaa eti bintiMmmh!Wa 40s tunaruhusiwa kuwasindikiza?
Hakugawii...maana haigawiki hiyo zawadi

Mbn umeshangaa? Huamini?
I love you more babeNakuelewa sana Chakorii
Thank you.
Mimi pia nawapenda sana wewe na mtumishi mwenzetu Heaven Sent
Sio kwasababu tu nyie ni washkaji poa, ni kwasababu pia nampenda mdogo wenu Saint Anne

Umeupiga mwingiMbn umeshangaa? Huamini?

Au ulidhani Mimi ni wa 96 km weweUmeupiga mwingi![]()




Mmmh!
Nakuelewa sana Chakorii
Thank you.
Mimi pia nawapenda sana wewe na mtumishi mwenzetu Heaven Sent
Sio kwasababu tu nyie ni washkaji poa, ni kwasababu pia nampenda mdogo wenu Saint Anne