ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,427
- 118,963




Noma sana wewe!! Mjadala umefungwa...



Noma sana wewe!! Mjadala umefungwa...Huyo sasa hatufai, hizo habari sio kabisa!!Niliwahi pita nikaona unaupambania kweli yaani .
Napita ndiyo..kuna mdau tunaye humu niliona anajitapa kuzibua mtaro.
Selfika basi ElliHuyo sasa hatufai, hizo habari sio kabisa!!
🤔80 mwishoni mwishoni
Kidevu hicho!Selfika basi Elli
Kijana anasema asanteKidevu hicho!View attachment 2088151
Nadhani siyo mtandao wangu huuKidevu hicho!View attachment 2088151

Anne yupo faster sana!!

Kama mimi tu.
Mungu wa Mbinguni akubariki mno kaka yangu mzuriiii🥰🤗🤗🤗Sidhani mkuu
Umeanza mambo yako!Mungu wa Mbinguni akubariki mno kaka yangu mzuriiii![]()
Kuna mtu humu umefanana naye


Yepi hayo?Umeanza mambo yako!
Haha una Id mbili
AkaHaha una Id mbili
....nimesema tu. Mimi nikiwa na Id zaid ya moja ntajichanganya vibaya mana ni msahaulifu mzuri tu 
..nimecheka Sana dah,kwani ukubwa unaazia mwaka gani asee
Maana kila siku humu ndani naambiwa Mimi mtoto,acheni kuninyanyasa bana,sipendi kbs kuniita mtoto![]()