Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Mbona zuri tu jamani. Ooh nahisi nimeshaelewa lastic uliyokuwa unaitaka.
Kama hujaridhika nayo; nenda kaongee na fundi mwingine uone atakwambiaje.
Kama hujaridhika nayo; nenda kaongee na fundi mwingine uone atakwambiaje.
Ona alichoshona jamani!!!!Halafu huku chini ya mikono hio lastiki nilimwambia iende kama upana wa cm 3 pawe pamebana ameweka hivo..hivi hapa si inawezekana kwenda kurekebisha huku mwishoni kwenye mikono?? View attachment 2088468

