Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mbona zuri tu jamani. Ooh nahisi nimeshaelewa lastic uliyokuwa unaitaka.

Kama hujaridhika nayo; nenda kaongee na fundi mwingine uone atakwambiaje.
Ona alichoshona jamani!!!! Halafu huku chini ya mikono hio lastiki nilimwambia iende kama upana wa cm 3 pawe pamebana ameweka hivo..hivi hapa si inawezekana kwenda kurekebisha huku mwishoni kwenye mikono?? View attachment 2088468
 
IMG_20220119_201018_521.jpg

Hapo zamani za kale ukiona wife amewasha taa rangi hii na mziki Kwa Mbali wa Ngoma za R&B unajua kifuatacho ITV..........

Anyways, ngoja nimsubiri mjukuu wangu aniletee Kiko yangu nivute 😂😂🏃🏃🏃🏃
 
Mikono mingi niliyoona ya hiyo lastic ndefu ni either mkono mzima uwe hivyo; au juu litangulie puto kubwa afu mwishoni huku chini ndiyo iunganishwe hiyo lastic. Kwa ule mkono wako, kumalizia na hiyo lastic ndefu; waulize wataalamu mafundi
Ndio nilitaka hivo sema nilitaka puto lisiwe kubwa sana.. alichoshona anajua mwenyewe!
 
Hivi hapa kufumua kurekebisha hio lastiki iwe hio ndefu itawezekana/ Itakuja kweli??
Mikono mingi niliyoona ya hiyo lastic ndefu ni either mkono mzima uwe hivyo; au juu litangulie puto kubwa afu mwishoni huku chini ndiyo iunganishwe hiyo lastic. Kwa ule mkono wako, kumalizia na hiyo lastic ndefu; waulize wataalamu mafundi
 
Back
Top Bottom