Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mbona zuri tu jamani. Ooh nahisi nimeshaelewa lastic uliyokuwa unaitaka.

Kama hujaridhika nayo; nenda kaongee na fundi mwingine uone atakwambiaje.
Ona alichoshona jamani!!!![emoji17][emoji17][emoji17][emoji17] Halafu huku chini ya mikono hio lastiki nilimwambia iende kama upana wa cm 3 pawe pamebana ameweka hivo..hivi hapa si inawezekana kwenda kurekebisha huku mwishoni kwenye mikono?? View attachment 2088468
 
IMG_20220119_201018_521.jpg

Hapo zamani za kale ukiona wife amewasha taa rangi hii na mziki Kwa Mbali wa Ngoma za R&B unajua kifuatacho ITV..........

Anyways, ngoja nimsubiri mjukuu wangu aniletee Kiko yangu nivute 😂😂🏃🏃🏃🏃
 
Ona alichoshona jamani!!!![emoji17][emoji17][emoji17][emoji17] Halafu huku chini ya mikono hio lastiki nilimwambia iende kama upana wa cm 3 pawe pamebana ameweka hivo..hivi hapa si inawezekana kwenda kurekebisha huku mwishoni kwenye mikono?? Ni refu hadi chini View attachment 2088468
Mimi mwenyewe hapo kwenye upana sijakuelewa
 
Mikono mingi niliyoona ya hiyo lastic ndefu ni either mkono mzima uwe hivyo; au juu litangulie puto kubwa afu mwishoni huku chini ndiyo iunganishwe hiyo lastic. Kwa ule mkono wako, kumalizia na hiyo lastic ndefu; waulize wataalamu mafundi
Ndio nilitaka hivo sema nilitaka puto lisiwe kubwa sana.. alichoshona anajua mwenyewe!
 
Hivi hapa kufumua kurekebisha hio lastiki iwe hio ndefu itawezekana/ Itakuja kweli??
Mikono mingi niliyoona ya hiyo lastic ndefu ni either mkono mzima uwe hivyo; au juu litangulie puto kubwa afu mwishoni huku chini ndiyo iunganishwe hiyo lastic. Kwa ule mkono wako, kumalizia na hiyo lastic ndefu; waulize wataalamu mafundi
 
Back
Top Bottom