raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,503
- 35,686
Nilikua najua ukubwan ni starehe tu 😀🙂🙂sasa hv mnafaidi wote?
Kumbe mambo yakichanganya kichwan mziki unaweza kupigwa na usiusikie
Nilikua najua ukubwan ni starehe tu 😀🙂🙂sasa hv mnafaidi wote?
Vinadhani havitazeeka shwain zaoNa vinavyopenda ukubwa; ngoja vije vizeeke kama sisi
Nakula neno kwanza hapa.. tupia na yako basiiiJamanii!
Biblia yako nimeipenda nzurii, safii, ila ni dalili ya kutotumika mara kwa maraNakula neno kwanza hapa.. tupia na yako basiiiView attachment 2087676
Inapendeza sana lol..mkumbuke muumba siku za ujana wako.. safi sana.. ngoja niangalie kama ntaona ya kuselfika aseeNakula neno kwanza hapa.. tupia na yako basiiiView attachment 2087676
hahahaha .zako ndo huwa zinamtoa nyoka pangoniHaha.. jana sijatupia rafiki utakua umepitwa na za wengine rafiki!
Selfika bwanaaa 😒😒😋😋😋😋Inapendeza sana lol..mkumbuke muumba siku za ujana wako.. safi sana.. ngoja niangalie kama ntaona ya kuselfika asee
hahahahaNilikua najua ukubwan ni starehe tu 😀🙂🙂
Kumbe mambo yakichanganya kichwan mziki unaweza kupigwa na usiusikie
Nasoma sana biblia, iisipokuwa huwa siweki alama yoyote wala kuandika chochote, kwasababu huwa mda wowote huwa nagawa biblia zangu.. pale ambapo naona mahala kuna uhitaji.. hapo imelala from mwazno to ufunuo nakuwaga narudia rudia tu ☺️☺️Biblia yako nimeipenda nzurii, safii, ila ni dalili ya kutotumika mara kwa mara
na ww tupia mkuuSelfika bwanaaa 😒😒😋😋😋😋
🙏🙏 unanivimbisha kichwa ujue!😜😜hahahaha .zako ndo huwa zinamtoa nyoka pangoni
Ni msafi sana kaka yangu na anaitumia mara kibaoBiblia yako nimeipenda nzurii, safii, ila ni dalili ya kutotumika mara kwa mara




Nimetupia mkuu mala myingi na tayari nimetupia hapona ww tupia mkuu
Wacha weeNasoma sana biblia, iisipokuwa huwa siweki alama yoyote wala kuandika chochote, kwasababu huwa mda wowote huwa nagawa biblia zangu.. pale ambapo naona mahala kuna uhitaji.. hapo imelala from mwazno to ufunuo nakuwaga narudia rudia tu![]()

mambo vp lkn upo poa? Wiki hii ,twende karaoke.na mzuka wa kuimba lingala🙏🙏 unanikumbusha kichwa ujue!😜😜
Muambie huyo.. sinaga ule usomaji wa biblia wa kuchora chora kuweka alama, sijawai kufanya hivyo toka utotoni mwangu, biblia zangu utazikuta mpyaaa haina hata nukta ya kalamu.. wala wino.. 😊😊Ni msafi sana kaka yangu na anaitumia mara kibao![]()
Wala sio uongo

hahahaha.vimba rafiki vimba. Kwa raha zako.na ofa ya karaoke nakupamtu chake unanifanya kichwa kivimbeee😜🙃🙃!
Tantee 😘😘😜!Wala sio uongo
Na kivimbe kwa raha zako![]()