Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nakula neno kwanza hapa.. tupia na yako basiii
IMG_20220119_102506.jpg
 
Biblia yako nimeipenda nzurii, safii, ila ni dalili ya kutotumika mara kwa mara
Nasoma sana biblia, iisipokuwa huwa siweki alama yoyote wala kuandika chochote, kwasababu huwa mda wowote huwa nagawa biblia zangu.. pale ambapo naona mahala kuna uhitaji.. hapo imelala from mwazno to ufunuo nakuwaga narudia rudia tu ☺️☺️
 
Nasoma sana biblia, iisipokuwa huwa siweki alama yoyote wala kuandika chochote, kwasababu huwa mda wowote huwa nagawa biblia zangu.. pale ambapo naona mahala kuna uhitaji.. hapo imelala from mwazno to ufunuo nakuwaga narudia rudia tu
Wacha wee
Mimi siwezi kugawa Bible Yangu...heri nimnunulie mtu Bible mpya ila siyo kumpa ile Biblia yangu niliyoichafua kila sehemu.
 
Back
Top Bottom