Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,666
Shem tuwaache kwanza, wataanza kutushushia za uso, hujui wanajipangaje huko...



Sawa..Kwa leo tuishie hapa.Sent using Jamii Forums mobile app
Shem tuwaache kwanza, wataanza kutushushia za uso, hujui wanajipangaje huko...



Sawa..Kwa leo tuishie hapa.Unavyoupambaniaga ukianza kuharibiwa na masnitch...unaupambania utadhani sasa ni roho yako inataka chomolewa.ule Uzi una madini sio poa!
Sema tuone..halafu wana kingine, anyway ngoja kwanza....wasije kunisema bure!!
HahahaahaGalilaya na viunga vyake vyote,,
Tusije tu kupigwa mnada
Yani sipendi hivo vifupisho mpaka kinyaa,,,Mimi mtu aniandikie huo utumbo hata sijubugi ,,,na neno "my" uuuuwiiiii!!Mtu yeyote akiniandikia hivyo simcheleweshi, namtukana Hapohapo
Huwezi kuelewa Anne!Unavyoupambaniaga ukianza kuharibiwa na masnitch...unaupambania utadhani sasa ni roho yako inataka chomolewa.



Kwamba ndio unaondoka shem?
Niliwahi pita nikaona unaupambania kweli yaani .Huwezi kuelewa Anne!
Halafu kumbe unapita kule mama?
Ule uzi unaweza kusoma kisa kimoja tu, hata kama hisia zilikuwa upareni unashangaa damu ishakuwa ya moto.![]()
Asante sn baby girlHappy birthday to you babyboy!
Hapana...kwamba tumefunga mjadala wa vitotoKwamba ndio unaondoka shem?

Asante chifuHappy birthday chief.View attachment 2087700
Picha zake zinamwonesha yupo early 20s Ila yeye anataka kujikuzaPicha zinaonesha au sio??!!
Asante kijana mpole mwenzangu😅Happy birthday kwako kijana mpole kuliko mimi, Mungu akupe umri na akutimizie kila hitaji la moyo wako![]()
80 mwishoni mwishoniSamahani mkuu,umezaliwa miaka ya 80 au 90?
Thank u mkuu Mr T 1990 ELYHappy birthday to you mkuu Satoh Hirosh
😅😅..nimecheka Sana dah,kwani ukubwa unaazia mwaka gani asee😅Satoh bana, si useme tu ni mwaka 1989, eti late 80s. Kumbe bado kadogo![]()
Asante sn mkuu,Mzee wa bata,Mr coffee 😅safi kabisa. Maisha mema nakutaki yenye miaka yenye baraka na utajiri kamandaa Satoh Hirosh