Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
💯💯Kweli ana sapoti yako🤣🤣🤣
💯💯Kweli ana sapoti yako🤣🤣🤣
Wacha akwazikeHii ni hatari, Hivi kushikwa hivyo haku-kuletei hamu ya tendo ? Samahan kama nitakukwaza kwa swali.
😋😋 ulimi huo.. hauchi hisia salamaa... mawazoo yameisha enda mbaliiiNimeharibu nini sasa
🤣🤣acha wenge basi...😋😋 ulimi huo.. hauchi hisia salamaa... mawazoo yameisha enda mbaliii
Good evening mtu wa MunguGood evening..View attachment 2086711
Ahaaaaa kumbeee..nikweli kabisa mimi ni kisu🤣🤣Si umeselfika jamani chakorii
😁😁😁 naachaje wenge tayari nimevurugwaaa... acha nijitupe kitandani daah.. kusaka usingizi nikue mie🤣🤣acha wenge basi...
Nimeona aibu ujue
Hahahahaah!Ahaaaaa kumbeee..nikweli kabisa mimi ni kisu🤣🤣
Hapo kitandani paendelee kubaki salama.ukiharibu tu..nitahitaji malipo ya hiyo emoji😁😁😁 naachaje wenge tayari nimevurugwaaa... acha nijitupe kitandani daah.. kusaka usingizi nikue mie
MnoooooooooooHahahahaah!
Hongera sana. Wanyonge lazima watakuwa wanapata tabu sana
Kaka ake Anne wa tumbo moja; kuna mdogo etu hivi ndiyo tunamuoza![]()

KhaaKuna ndugu yetu huko Mbeya ametuletea Pep kuwa shemeji yetu


Mlalo wa kimwenyewe mwenyewe huu, hakuna chana mkeka hapaaa😔😔😔Hapo kitandani paendelee kubaki salama.ukiharibu tu..nitahitaji malipo ya hiyo emoji
Wa pwani wako vzr shida kaka zetu midomoo!!wana gubu balaaAiseee Sisi wa pwani tunachkuliwa poa sana duh

wachache sana ndo hawanaga hizo mamboo!!We vizia tu!morning baasi!ikipita imepitaa!!!



Ushauri umezingatiwa, utekelezaji umeanza mara baada ya kupokelewa ushauri rasmi wa ndugu 9.8ms squared 😂Akupe receipt ya EFD..
ila kuwasomeshea fresh haina shida 😁🙈😁
Baba mtumishi umeanza lini uongoNafuta shortly, I prefer to remain anonymous hapa jamvini
________________________________
Hapa ni last weekend nikiwa kwenye shughuli ya chama huko Ileje
Kama unavyoona nimepewa bodyguard maana naupiga mwingi sana.
Bodyguard wangu anaitwa Mwangosi Mwakipesile kutokea kule Mbalizi mjini.
View attachment 2086492

