Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Good evening..
IMG_20220118_150907.jpg
 
reymage
mahondaw
Depal

Tafadhari naomba picha zenu mlizoweka ambazo mie sijaona, yaan hapa nahisi kufa kufa, na mnajua huwa siwezi kukubali kupitwaa. Please mfanye km vile nahitaji.

Hivi mie huu ni ukubwa au mambo mengi, mbna napitwa hivi khaaaah

Naombeni nione hizo picha, seriously.
We vizia tu!morning baasi!ikipita imepitaa!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Nafuta shortly, I prefer to remain anonymous hapa jamvini

________________________________

Hapa ni last weekend nikiwa kwenye shughuli ya chama huko Ileje

Kama unavyoona nimepewa bodyguard maana naupiga mwingi sana.

Bodyguard wangu anaitwa Mwangosi Mwakipesile kutokea kule Mbalizi mjini.

View attachment 2086492
Baba mtumishi umeanza lini uongo
 
Back
Top Bottom