Same here. Huwa naitwa sana mnyamwezi, na wengine huwa wanafikiri nina asili ya kaskazini (the way nilivyo according to their perception + meno yameoza)
Sema mikono niliweka ya puto Sijui... kuanzia kwenye bega papana kidogo ila huku mwisho wa mkono pamebana na lastiki..mikono mirefu.. ngoja tusubirie fundi afanye makaratee tuone..
Sasahivi hamnisemi aseeh... 5 fully years nimekaa huko tena kijijini haswaaa! Intiria huko Ukiongea tu kuuliza bei ya kitu wanajua ogu mushwahili hahahaaa..wanakutajia bei kubwaaaa dah!
Yeah! Literally stopped everything for my baby girl. 13 yrs and counting. Total sacrifice and commitment to her. Mpaka imefika mahali sasa ameanza kuniambia eti anataka mdogo wake. Namwambia mdogo wako mi nitampata wapi na uzee huu...and she is like dad please do something. I need a young sis or a bro....
Kwa msaada wa Mungu I hope that I have raised a strong woman who, though gentle and humble, knows her worth and her place in this tumultuous world
Sema mikono niliweka ya puto Sijui... kuanzia kwenye bega papana kidogo ila huku mwisho wa mkono pamebana na lastiki..mikono mirefu.. ngoja tusubirie fundi afanye makaratee tuone..
Watu huwa ni wabishi sana, mie huwa nawataja surname tu , ukitaja kabila hawaamini .Maana hapo ataanza kusema mbona watu kabila hilo hawapo hivi ? anauliza tena umefanyiwa FGM ?