Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwetu tumegawanyika kuna weupe peeee na weusi. Hawa wenzetu weupe huwa wanakataliwa kama wanyaki, tena wa Tukuyu
Ila kumpata mnyaki,au mkurya mweupe na mhayaa ni kipengele haswaa...!!
nilikua na marafiki zangu wawili weupeee hao mmoja mkurya mwingine mhaya tulikua tunasemaga wao sio wa hayo makabila wamevamia tu au illegal migrants!
 
Mzee tafuta mdgo wake acha janja janja kumpiga sound dogo she looks very intelligent
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…