Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,771
๐๐๐๐.. hapa ndio patamu, kila mtu ananipaga kabila analotaka.. ukimuuliza safiiEeeeh nshomile[emoji54][emoji54]
๐๐๐๐.. hapa ndio patamu, kila mtu ananipaga kabila analotaka.. ukimuuliza safiiEeeeh nshomile[emoji54][emoji54]
Sasahivi hamnisemi aseeh... 5 fully years nimekaa huko tena kijijini haswaaa! Intiria huko Ukiongea tu kuuliza bei ya kitu wanajua ogu mushwahili hahahaaa..wanakutajia bei kubwaaaa dah!๐๐๐๐.. hapa ndio patamu, kila mtu ananipaga kabila analotaka.. ukimuuliza safii
Au ndo wanasemaga effect of mother tongue! Hivi hata waliozaliwa mijini wana hio kitu yani watoto wa wakule waliozaliwa mikoani vipi nao wanachanganya hizo herufi??
hkn kitu sipendi kuulizwa km swali we kabila gani๐๐๐๐.. hapa ndio patamu, kila mtu ananipaga kabila analotaka.. ukimuuliza safii
Same here. Huwa naitwa sana mnyamwezi, na wengine huwa wanafikiri nina asili ya kaskazini (the way nilivyo according to their perception + meno yameoza)[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].. hapa ndio patamu, kila mtu ananipaga kabila analotaka.. ukimuuliza safii
[emoji1787][emoji1787] Ndiomana jana ulinipotezea lile swali kumbee hahahaaa..hkn kitu sipendi kuulizwa km swali we kabila gani
Tunaita maswali ya kiwaki ๐๐๐.. huwa namuachia mtu kabila analotaka kunipahkn kitu sipendi kuulizwa km swali we kabila gani
๐๐๐๐.. Mie mwenyewe sijuagi kabila gani na huenda hata sio mtanzania ๐๐๐Same here. Huwa naitwa sana mnyamwezi, na wengine huwa wanafikiri nina asili ya kaskazini (the way nilivyo according to their perception + meno yameoza)
Hatari sana[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4].. Mie mwenyewe sijuagi kabila gani na huenda hata sio mtanzania [emoji23][emoji23][emoji23]
hahahaha,ulishtukia eeh? Kn maswali huwa si jibu km hayo[emoji1787][emoji1787] Ndiomana jana ulinipotezea lile swali kumbee hahahaaa..
watoto wa kinyamwezi mpo bombaaa.. hapa nishajenga picha yangu kichwani ๐๐๐๐ ya mama pastorHatari sana
hahahaha,we una utaifa wa nchi 3 km mimi sio?๐๐๐๐.. Mie mwenyewe sijuagi kabila gani na huenda hata sio mtanzania ๐๐๐
hahahaha .wanyamwezi mama zangu.wako vzr sanawatoto wa kinyamwezi mpo bombaaa.. hapa nishajenga picha yangu kichwani ๐๐๐๐ ya mama pastor
๐๐๐๐.. mie ni mchanganyiko wa Ethiopia, Somalia, Rwanda ๐๐๐๐๐ nataka usajili wa burundi sana na congohahahaha,we una utaifa wa nchi 3 km mimi sio?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]! Basi yaishe tuendelee kuselfika [emoji3577]Tunaita maswali ya kiwaki [emoji23][emoji23][emoji23].. huwa namuachia mtu kabila analotaka kunipa
acha kabisa.. acha leo niende tabora mitaa ya bachu, chemu chemu.. ๐๐๐๐ nikawasalimiehahahaha .wanyamwezi mama zangu.wako vzr sana
watoto wa kinyamwezi mpo bombaaa.. hapa nishajenga picha yangu kichwani [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] ya mama pastor
safi sana mkuu๐๐๐๐.. mie ni mchanganyiko wa Ethiopia, Somalia, Rwanda ๐๐๐๐๐ nataka usajili wa burundi sana na congo