Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
ππππ.. hapa ndio patamu, kila mtu ananipaga kabila analotaka.. ukimuuliza safiiEeeeh nshomile![]()
ππππ.. hapa ndio patamu, kila mtu ananipaga kabila analotaka.. ukimuuliza safiiEeeeh nshomile![]()
Sasahivi hamnisemi aseeh... 5 fully years nimekaa huko tena kijijini haswaaa! Intiria huko Ukiongea tu kuuliza bei ya kitu wanajua ogu mushwahili hahahaaa..wanakutajia bei kubwaaaa dah!ππππ.. hapa ndio patamu, kila mtu ananipaga kabila analotaka.. ukimuuliza safii
Au ndo wanasemaga effect of mother tongue! Hivi hata waliozaliwa mijini wana hio kitu yani watoto wa wakule waliozaliwa mikoani vipi nao wanachanganya hizo herufi??
hkn kitu sipendi kuulizwa km swali we kabila ganiππππ.. hapa ndio patamu, kila mtu ananipaga kabila analotaka.. ukimuuliza safii
Same here. Huwa naitwa sana mnyamwezi, na wengine huwa wanafikiri nina asili ya kaskazini (the way nilivyo according to their perception + meno yameoza).. hapa ndio patamu, kila mtu ananipaga kabila analotaka.. ukimuuliza safii
hkn kitu sipendi kuulizwa km swali we kabila gani

Ndiomana jana ulinipotezea lile swali kumbee hahahaaa..Tunaita maswali ya kiwaki πππ.. huwa namuachia mtu kabila analotaka kunipahkn kitu sipendi kuulizwa km swali we kabila gani
ππππ.. Mie mwenyewe sijuagi kabila gani na huenda hata sio mtanzania πππSame here. Huwa naitwa sana mnyamwezi, na wengine huwa wanafikiri nina asili ya kaskazini (the way nilivyo according to their perception + meno yameoza)
Hatari sana.. Mie mwenyewe sijuagi kabila gani na huenda hata sio mtanzania
![]()
hahahaha,ulishtukia eeh? Kn maswali huwa si jibu km hayoNdiomana jana ulinipotezea lile swali kumbee hahahaaa..
watoto wa kinyamwezi mpo bombaaa.. hapa nishajenga picha yangu kichwani ππππ ya mama pastorHatari sana
hahahaha,we una utaifa wa nchi 3 km mimi sio?ππππ.. Mie mwenyewe sijuagi kabila gani na huenda hata sio mtanzania πππ
hahahaha .wanyamwezi mama zangu.wako vzr sanawatoto wa kinyamwezi mpo bombaaa.. hapa nishajenga picha yangu kichwani ππππ ya mama pastor
ππππ.. mie ni mchanganyiko wa Ethiopia, Somalia, Rwanda πππππ nataka usajili wa burundi sana na congohahahaha,we una utaifa wa nchi 3 km mimi sio?
Tunaita maswali ya kiwaki.. huwa namuachia mtu kabila analotaka kunipa





! Basi yaishe tuendelee kuselfika 
acha kabisa.. acha leo niende tabora mitaa ya bachu, chemu chemu.. ππππ nikawasalimiehahahaha .wanyamwezi mama zangu.wako vzr sana
watoto wa kinyamwezi mpo bombaaa.. hapa nishajenga picha yangu kichwaniya mama pastor
safi sana mkuuππππ.. mie ni mchanganyiko wa Ethiopia, Somalia, Rwanda πππππ nataka usajili wa burundi sana na congo