Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Mungu amenihurumia, tendo hili kubwa sana,Wewe wanitosha
Huu wimbo![]()
Sikustahili jambo hili, nimelipata bure tu!
Sasa najua hayo yote X2
Nasifu rehema zake X2
Nalistahili kupotea, lakini nahurumiwa,
Mungu amenipatanisha na yeye kwa Yesu Kristo,
Sababu hii namtumikia X2
nasifu huruma yake X2
Mungu mwenye huruma nyingi, usininyime huruma,
Naitafuta siku zote nikiulizwa na watu,
Hivi vyote vyatoka wapi? X2
Nasema ni huruma…






