Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,771
Ng'ambo, itetemia, mwanza road, kanyenye, kariakoo, kitete, bachu, isevya, kiloleni 😁😁😁😁..Au mwinyi. Kachelema unakufaham?
Ng'ambo, itetemia, mwanza road, kanyenye, kariakoo, kitete, bachu, isevya, kiloleni 😁😁😁😁..Au mwinyi. Kachelema unakufaham?
Mkurya sio??!!Watu huwa ni wabishi sana, mie huwa nawataja surname tu , ukitaja kabila hawaamini .Maana hapo ataanza kusema mbona watu kabila hilo hawapo hivi ? anauliza tena umefanyiwa FGM ?
Happybday to you!ely15|01|1990-15|01|2022=?
GOD has given me another year to live, laugh, and love and that is the best thing I could receive
HAPPY BIRTHDAY TO ME
Makabila mengi wanafanya FGMMkurya sio??!!
Hahaha mbona FGMWatu huwa ni wabishi sana, mie huwa nawataja surname tu , ukitaja kabila hawaamini .Maana hapo ataanza kusema mbona watu kabila hilo hawapo hivi ? anauliza tena umefanyiwa FGM ?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nina rafiki zagu wawili hala wasukuma, R na L inategemea siku hiyo wameamkaje
Heeeeeeeeeeeh kumbe!! ninaowajua sanasana ni wakurya..ok ok.Makabila mengi wanafanya FGM
Wanakuuliza kimakusudi yaani [emoji23][emoji23]Hahaha mbona FGM
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23]jamani kaahh!umenichekesha sana!Ninavyojulikana hivi, angeshajitokeza wa kunisifia. Ukiona kimya, ujue kila kitu ni "personal". Kama yule mpendwa aliyesema wadada wa humu tuna features za ki-wife material. [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimepitia Milambo hapo.Ng'ambo, itetemia, mwanza road, kanyenye, kariakoo, kitete, bachu, isevya, kiloleni [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]..
Nyie nyie jamani.. tokomeza huu ukatili 🥺🥺🥺Makabila mengi wanafanya FGM
Leo rada zimegoma kabisa kuniweka juu mawinguni[emoji1751][emoji17][emoji19][emoji19][emoji19]
😊😊😊😊 Safi naona mlikuwa mpo karibu na chem chem juu kidogo mwanza road.. pale chini mwinyi..Nimepitia Milambo hapo.
Hivi mpaka waleo kuna wazazi wanawafanyia binti zao hio kitu??🙆🙆Nyie nyie jamani.. tokomeza huu ukatili 🥺🥺🥺
Mama pastor itakuwa kanikamata kwenye maombi 😂😂😂 ka disturb systemLeo rada zimegoma kabisa kuniweka juu mawinguni[emoji1751][emoji17][emoji19][emoji19][emoji19]
[emoji3][emoji3]Ila kuna watu watafika kwa Mungu wamechoka sana [emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]Urembo tunawaachia ma celeb huko Atuwache kabisa! Kwanza nilipenda hakuna hata aliemsapot ujinga ule!
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23]jamani kaahh!umenichekesha sana!
🤣🤣🤣🤣🤣Mama pastor itakuwa kanikamata kwenye maombi 😂😂😂 ka disturb system