Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
Ng'ambo, itetemia, mwanza road, kanyenye, kariakoo, kitete, bachu, isevya, kiloleni 😁😁😁😁..Au mwinyi. Kachelema unakufaham?
Ng'ambo, itetemia, mwanza road, kanyenye, kariakoo, kitete, bachu, isevya, kiloleni 😁😁😁😁..Au mwinyi. Kachelema unakufaham?
Mkurya sio??!!Watu huwa ni wabishi sana, mie huwa nawataja surname tu , ukitaja kabila hawaamini .Maana hapo ataanza kusema mbona watu kabila hilo hawapo hivi ? anauliza tena umefanyiwa FGM ?
Happybday to you!ely15|01|1990-15|01|2022=?
GOD has given me another year to live, laugh, and love and that is the best thing I could receive
HAPPY BIRTHDAY TO ME
Makabila mengi wanafanya FGMMkurya sio??!!
Hahaha mbona FGMWatu huwa ni wabishi sana, mie huwa nawataja surname tu , ukitaja kabila hawaamini .Maana hapo ataanza kusema mbona watu kabila hilo hawapo hivi ? anauliza tena umefanyiwa FGM ?
Nina rafiki zagu wawili hala wasukuma, R na L inategemea siku hiyo wameamkaje





Heeeeeeeeeeeh kumbe!! ninaowajua sanasana ni wakurya..ok ok.Makabila mengi wanafanya FGM
Ninavyojulikana hivi, angeshajitokeza wa kunisifia. Ukiona kimya, ujue kila kitu ni "personal". Kama yule mpendwa aliyesema wadada wa humu tuna features za ki-wife material.![]()








jamani kaahh!umenichekesha sana!Nimepitia Milambo hapo.Ng'ambo, itetemia, mwanza road, kanyenye, kariakoo, kitete, bachu, isevya, kiloleni..
Nyie nyie jamani.. tokomeza huu ukatili 🥺🥺🥺Makabila mengi wanafanya FGM
Leo rada zimegoma kabisa kuniweka juu mawinguni





😊😊😊😊 Safi naona mlikuwa mpo karibu na chem chem juu kidogo mwanza road.. pale chini mwinyi..Nimepitia Milambo hapo.
Hivi mpaka waleo kuna wazazi wanawafanyia binti zao hio kitu??🙆🙆Nyie nyie jamani.. tokomeza huu ukatili 🥺🥺🥺
Mama pastor itakuwa kanikamata kwenye maombi 😂😂😂 ka disturb systemLeo rada zimegoma kabisa kuniweka juu mawinguni![]()
Urembo tunawaachia ma celeb huko Atuwache kabisa! Kwanza nilipenda hakuna hata aliemsapot ujinga ule!

Ila kuna watu watafika kwa Mungu wamechoka sana 



🤣🤣🤣🤣🤣Mama pastor itakuwa kanikamata kwenye maombi 😂😂😂 ka disturb system