Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,652
- 79,057
hamjamboo wadau
wahenga walisema mshika mbili moja humponyoka,mi nilishika kama tano hivi so akaniponyoka huyo mrembo wakati niko busy na wengine
mmelala ? km bado semeni nitupie fotoo moya hapa
cc@mahondaw
njo vile utumage mu fotoo enye uko fasi ya mu mobayi mbongo au mu kinshasammelala ? km bado semeni nitupie fotoo moya hapa
cc@mahondaw
hahahahaha...Hatujalala, tuma mwaya
hahahaha..petit wangu ..chunga mbele..we fuata hii mazungumuzo..vile tunasumbuliana hapa..mee nitaweka fotoonjo vile utumage mu fotoo enye uko fasi ya mu mobayi mbongo au mu kinshasa
chef detat ...uko na povour moya ya nguvu ..welcome de etat majornjo vile utumage mu fotoo enye uko fasi ya mu mobayi mbongo au mu kinshasa
njo niko fasi hii nasubirianga mukubwahahahaha..petit wangu ..chunga mbele..we fuata hii mazungumuzo..vile tunasumbuliana hapa..mee nitaweka fotoo
merci mingi,mimi iko na mu povour venye alikuwa nayo mu marechalchef detat ...uko na povour moya ya nguvu ..welcome de etat major
merci mingi,mimi iko na mu povour venye alikuwa nayo mu marechal
hahahaha...petit uko una sumbuliana na 'afande' mukuu ye yule anatumikisha majeshi ya mucongoonjo niko fasi hii nasubirianga mukubwa
kuya hii fasi ya kamanyola,camp vangunjo niko fasi hii nasubirianga mukubwa
mu kamanyola huwa namusikianga,ba mutu ba huko babaya sana,nitafika fasi hiyo,niko namupangala kwendanga parc ya vilunga ama mu Nselekuya hii fasi ya kamanyola,camp vangu
oooh kumbe uko parc ya vilunga, chunga hapo mpk dimache ,nakuya huko .kusumbuliana na mayor wa province hy, macredi narudi kwa mlangomu kamanyola huwa namusikianga,ba mutu ba huko babaya sana,nitafika fasi hiyo,niko namupangala kwendanga parc ya vilunga ama mu Nsele
kayibu sana mukuu,umesahau kuwekala na mu fotoooooh kumbe uko parc ya vilunga, chunga hapo mpk dimache ,nakuya huko .kusumbuliana na mayor wa province hy, macredi narudi kwa mlango
Sawasawa mdogo mdogo. Ila Mimi kwa naachana na timeframe ndogondogo, nakomaa na 4h na D ili nifanye Mambo mengine kwa uhuru.Mkuu inajaribiwa hiii.. View attachment 2080833
Ukute uko busy Unamchunga mdogo wako?Mimi ni middle born; ila nimeibia nafasi za first born na last born. Mdogo wangu yupo; ila dada mwenyewe nilivyo mkuda sasa
Nice one
Niliwahi kuingia nao kwenye taharuki mwaka 2016, yaani nipo sehemu nimekaa na washikaji kitaa mida saa tano asubuhi, tukashangaa ghafla defender imetia breki.
Kamanda wao akaamrisha tuingie kwenye gari kwa kosa la kunywa pombe ( bia) kabla ya muda ( enzi hizo haikuruhusiwa kunywa mpaka ifike saa kumi jioni). Nilishangaa sana maana tulikuwa tumekaa tu kumbe kuna tupu ( chupa) ya bia iko pembeni na sisi.
Wenzangu wakakubali kuingia mi nikakataa maana sikuwa na kosa, sijakaa sawa akaja mmoja eti anataka kunikamata, nikamdaka mkono na kimsukuma huko! Basi bhana sijakaa sawa wakaja wawili nikawadaka wote! Akarusha ngumi mmoja nikakwepa nikamrukia yule mwingine nikamtwisha hook punch.
Walikuwa kama nane hivi wengine walikuwa na chuma( SMG/ak 47).
Nikamvuta mmoja tena nikachana shati lake ( hakuvaa sare). Mzuka ukapanda niliwachezeshea mkono. Wale wenye bunduki wakakaa standby wakaniamuru nijisalimishe ( wala hawakuweka chamber risasi) nikawatukana.
Raia walijazana huku wakiwazomea hao polisi. Akaja mmoja tunafahamiana akaniomba niache. Akili ikarudi kuwa nimeharibu, nikapanda kwenye gari wakataka kuanza kunishambulia nikawaambia nitawavunjavunja na hizo silaha zenu ( wakatulia huku wamechakaa vumbi)
Tumefika kituoni nikaamuliwa kuvua mkanda ili niwekwe sero, nilipoutoa tu wakaanza mkanda huu umetoa wapi? Nikaawambia kwani unapatikana wapi?
Wakanywea; hahaha wakaniachia bure na knuckles wamekula.
Timeframe ndogo tunazitumia for entry, unaziona candle vizuri ( structure)Sawasawa mdogo mdogo. Ila Mimi kwa naachana na timeframe ndogondogo, nakomaa na 4h na D ili nifanye Mambo mengine kwa uhuru.