Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Labda urefu
hatari sana ,marehemu bi mkubwa mfn.mrefu ,mrembo.umbo ,uarabu kwa mbali
hatari sana ,marehemu bi mkubwa mfn.mrefu ,mrembo.umbo ,uarabu kwa mbali
🤣🤣✌️✌️✌️ Pamoja sana rafiki!ndo maana nakukubali rafiki
hatari sana haohao watu wapo kamili juu hadi chini
nipo rafiki


Utakuwa totoz ya maana a. k.a pisi kali![]()
Nyamwezi ni Hatari nanusu!!hatari sana hao
okLabda urefu
tupia ka selfie,tumwage sifa zako rafikiNinavyojulikana hivi, angeshajitokeza wa kunisifia. Ukiona kimya, ujue kila kitu ni "personal".![]()
Nakazia...!tupia ka selfie,tumwage sifa zako rafiki
aaaah mamaaa pastor 😊😊😊.. kinachofanya mtu kuwa nzuri ni favor ya kiungu iliyo juu yakeNinavyojulikana hivi, angeshajitokeza wa kunisifia. Ukiona kimya, ujue kila kitu ni "personal". Kama yule mpendwa aliyesema wadada wa humu tuna features za ki-wife material.![]()
hahahaha, hv leo umetupia ka selfie rafiki?Nyamwezi ni Hatari nanusu!!
Urembo tunawaachia ma celeb huko Atuwache kabisa! Kwanza nilipenda hakuna hata aliemsapot ujinga ule!Ninavyojulikana hivi, angeshajitokeza wa kunisifia. Ukiona kimya, ujue kila kitu ni "personal". Kama yule mpendwa aliyesema wadada wa humu tuna features za ki-wife material.![]()
Kabisa yani!aaaah mamaaa pastor 😊😊😊.. kinachofanya mtu kuwa nzuri ni favor ya kiungu iliyo juu yake

aaaah mamaaa pastor.. kinachofanya mtu kuwa nzuri ni favor ya kiungu iliyo juu yake
Alikuwa anajifurahisha tu. Pisi kali zilivyo nyingi humu. AkwendreeeeeeUrembo tunawaachia ma celeb huko Atuwache kabisa! Kwanza nilipenda hakuna hata aliemsapot ujinga ule!
Hahaha.. rafiki niwacheeeee niwacheeeee 🤸🤸💃! Ntaselfika nikichukua kitenge chenye mshono wa ma mtumishi tu..napo ntaipiga hio nguo tu!hahahaha, hv leo umetupia ka selfie rafiki?
Unachukua lini?Hahaha.. rafiki niwacheeeee niwacheeeee! Ntaselfika nikichukua kitenge chenye mshono wa ma mtumishi tu..napo ntaipiga hio nguo tu!
Kwenye j4 nadhani..!Unachukua lini?
Kwenye j4 nadhani..!
Mstari wa 9 na 10 una inspireNajaribu kwenda kinyume cha maandiko
Mhubiri 4:11
Tena, wawili wakilala pamoja, hapo watapata moto; lakini mmoja aliye peke yake tu awezaje kuona moto?