Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

NIPITAPO MAJARIBU
[1]
Nipitapo majaribu, katikati ya miiba,
Ninatosheka kwa kuwa, unanifikiri.

Unanifikiri mimi, waniwaza sana Bwana:
Nahitaji kitu gani? Wewe wanitosha.

[2]
Masumbufu ya dunia yasongayo moyo wangu,
Mwisho yananikumbusha, unafikiri.

[3]
Shida zije au zisije, maisha bora au ya shida.
Mwisho yananikumbusha, unafikiri.
 
Heaven Sent
Saint Anne
Tinsley
Katika Biblia.. yote.. mstari ( mistari), sura ambayo ni favorite kwangu ni hii ( huu).. kila nikisoma kuna kitu naona..

Alidharauliwa na kukataliwa na watu; Mtu wa huzuni nyingi, ajuaye sikitiko; Na kama mtu ambaye watu humficha nyuso zao, Alidharauliwa wala hatukumhesabu kuwa kitu.

Hakika ameyachukua masikitiko yetu, Amejitwika huzuni zetu; Lakini tulimdhania ya kuwa amepigwa, Amepigwa na Mungu, na kuteswa.

Bali alijeruhiwa kwa makosa yetu, Alichubuliwa kwa maovu yetu; Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake, Na kwa kupigwa kwake sisi tumepona.

Mkawe na weeekend njema..
Amen
 
NIPITAPO MAJARIBU
[1]
Nipitapo majaribu, katikati ya miiba,
Ninatosheka kwa kuwa, unanifikiri.

Unanifikiri mimi, waniwaza sana Bwana:
Nahitaji kitu gani? Wewe wanitosha.

[2]
Masumbufu ya dunia yasongayo moyo wangu,
Mwisho yananikumbusha, unafikiri.

[3]
Shida zije au zisije, maisha bora au ya shida.
Mwisho yananikumbusha, unafikiri.
Wewe wanitosha
Huu wimbo
 
Kuna boya mmoja alinikomalia eti oooh "hakuna binti wa Kinyaki mweupe. Ogopa matapeli". Namtumia hii picha kama uthibitisho wa kauli yake hiyo ya kibaguzi na isiyo na mashiko katika uhalisia. Rangi ya mtume safii

ha ha ha wana ubaguzi mwingine utasikia utakua wa Kyela tu sio Tukuyu

ila ni picha tu uhalisia upo tofauti
 
Heaven Sent
Saint Anne
Tinsley
Katika Biblia.. yote.. mstari ( mistari), sura ambayo ni favorite kwangu ni hii ( huu).. kila nikisoma kuna kitu naona.. 😥😥

Alidharauliwa na kukataliwa na watu; Mtu wa huzuni nyingi, ajuaye sikitiko; Na kama mtu ambaye watu humficha nyuso zao, Alidharauliwa wala hatukumhesabu kuwa kitu.

Hakika ameyachukua masikitiko yetu, Amejitwika huzuni zetu; Lakini tulimdhania ya kuwa amepigwa, Amepigwa na Mungu, na kuteswa.

Bali alijeruhiwa kwa makosa yetu, Alichubuliwa kwa maovu yetu; Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake, Na kwa kupigwa kwake sisi tumepona.


Mkawe na weeekend njema..
Here's my all time verse too
The pain you've been feeling can't compare to the joy that is coming. - Romans 8:18
 
Heaven Sent
Saint Anne
Tinsley
Katika Biblia.. yote.. mstari ( mistari), sura ambayo ni favorite kwangu ni hii ( huu).. kila nikisoma kuna kitu naona.. 😥😥

Alidharauliwa na kukataliwa na watu; Mtu wa huzuni nyingi, ajuaye sikitiko; Na kama mtu ambaye watu humficha nyuso zao, Alidharauliwa wala hatukumhesabu kuwa kitu.

Hakika ameyachukua masikitiko yetu, Amejitwika huzuni zetu; Lakini tulimdhania ya kuwa amepigwa, Amepigwa na Mungu, na kuteswa.

Bali alijeruhiwa kwa makosa yetu, Alichubuliwa kwa maovu yetu; Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake, Na kwa kupigwa kwake sisi tumepona.


Mkawe na weeekend njema..
Nakwako pia Mkuu uwe na weekend njema!
 
Back
Top Bottom