Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Huyu kuku ht mi nisingekubali ule peke yako looh!
Anasema yaani Huyu dogo sijui mnamuona nani🤣
Yaani ale nyama pekeyake,,kwamba ni mgeni hapa nyumbani ni mara ya kwanza yeye kuja?
Mama anasema akijisikia atawagawia😂😂😂😂😂😂😂basi nilikuwa najaa bichwa langu hili.

Kipande vya mzee nilikuwa nimeshamtengea,,,hakuna kitu nilikuwa napenda kama kumfurahisha mzee wangu hasa upande wa chakula.
 
The same to my late father...despite all his weaknesses but he was the best dad to me.
Kuna muda tulikwaruzana,,,
Mimi pia ni mpenda attention,,,sasa kwa baba yangu ni kama nilifika penyewe
Nikikaa nikikumbuka matukio mazuri(mf mzuri graduation yangu ya form four mzee alivyoinuka na kunipigia makofi nikiwa napewa zawadi zangu..ukumbi mzima walijua yule ni baba yangu)
Amenifunza appreciation..
Alikuwa akianza kukusifia na kukuelezea mzee wangu ahhh
Unaweza kulia kwa furaha.


Katika malezi yangu sikuwahi kupigwa na baba yangu hata siku moja.



Basi huku kwenye mahusiano mambo yatakuwa magumu,,,napenda care mno aisee...jinsi nilivyokuwa napiga stori na mzee...sijui km nitapata tena mtu wa aina ile maishani.
Mmeongea vyote sina pa kuongeza ntaharibu!
Mi ni first born but my dad Ananipenda sana!nimeinjoy kwa nafasi yangu
 
Asante kwa hili, kumbe wanaume bado wanathaminika, kuna wakati thamani yetu ilikua haipo kila kitu ni mama tu.
Hapana wanaume wana thamani kubwa sana,Mimi nawaheshimu mnoo!!hakuna MTU aso na umuhimu,baba ana nafasi kuubwa sana ktk malezi na kumjenga mtoto.
Mimi sina ubaya na wanaume kwa kweli they are good people
 
Saint Anne.. karibu chakula
IMG_20220114_191837.jpg
 
Anasema yaani Huyu dogo sijui mnamuona nani
Yaani ale nyama pekeyake,,kwamba ni mgeni hapa nyumbani ni mara ya kwanza yeye kuja?
Mama anasema akijisikia atawagawiabasi nilikuwa najaa bichwa langu hili.

Kipande vya mzee nilikuwa nimeshamtengea,,,hakuna kitu nilikuwa napenda kama kumfurahisha mzee wangu hasa upande wa chakula.
muone vile loohh!unaona rahaa!kudeka tu
 
It's never too late. Jitahidi sana;sio tu kuwa present, bali uwe available to your kids. Na uzuri watoto ni very understanding; ongea nao waambie kwa nini unakuwa mbali nao, watakuelewa tu. Na mawasiliano yamerahisishwa sana siku hizi, wapigie simu, do video calls n.k. Unawauliza habari zao na siku zao zimeendaje, wasaidie homeworks, unawauliza wanahitaji nini; na unamwambia kabisa nimetumia mama hela akununulie kitu fulani; wajue kuwa baba yupo, anatujali na kutuhudumia.

Siku ukipata nafasi ya kuwa nao; make sure mnakuwa na wakati mzuri ambao unaweka alama kwenye maisha yao. Toka nao, shiriki kwenye hobby zao, wapeleke shopping, wasaidie kuchagua vitu wanavyovipenda, omba nao, shiriki kwenye vikazi vyao vya nyumbani n.k. Yaani siku ukiwepo, ionekane kweli baba yupo, jitahidi kufidia ule muda ambao hukuwepo
Asanteni kwa testimony zenu kuhusu nafasi ya baba kwa binti yake. Nitajitahidi kumpa muda mwanangu,hizi changamoto za maisha zinatuweka mbali nao sanaa. Hopefully sijachelewa, MUNGU atusaidie wanaume tuweze kupata muda na watoto na wake zetu na awasaidie wake zetu mtupunguzie maudhi mpaka tunazichukia nyumba zetu wenyewe.
 
Back
Top Bottom