Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Kipi unatamani mpendwa?ndo ilikuwa kwaheri hiyo si niliweka ahadi jioni haiwezekani mi naumia then sipati nnachokitamani niache kwanza ngoja moyo wangu upoe kwanza bado kuna visindano vinachoma choma..
Wee hebu tuma hukoNimekoma mbona..nimekosa mimi nimekosa sana naomba kusamehewa bureee!! Namimi nasema situmi tenaaa nimekomaa nikakoma tena!
Ingekuwa vyema tu .Kabisa yaani
Sipati picha mimi ndo ningekuwa mkubwa kwetu!
Nadhani ningewaendesha mnoIngekuwa vyema tu .
Habari ya leo rafiki ?



,ninavyopenda kupewa attention.

Hapa palipofikiaHeee🥲
Nakuwaje katikati
Irrudiwe
Mimi sitaki.




Napinga vikali kuwekwa katikati😒😒
Nadhani ningewaendesha mno,ninavyopenda kupewa attention.
Mungu ana sababu zake
...
Nzuri mama
Mzima?


Aisee nimekuwa last born for twenty years + , sasa hivi nimewatoroka
ila it feels goods Mzee huwa ananitambulisha kama last born hadi sasa nina wadogo wawili kwa baba ..
Utulivu wapi , mie muongeaji noma hapa nyumbani mie ndo kama mkubwa wakati mimi ndo mdogo .
Umenena vema asee ,karibia wote hapa selfika nawajua..komaaa hapahapa Chimbo zuri ni hapa selfika hakuna mwingine. Uzuri hapa hata kuwaona unawaona in selfie mode!!!



Halafu anajidai haoni.
Namnunia![]()
🙏🙏Hahaha ungekuwa unawaonyesha njia wadogo zako maana macho yote yapo kwako .
Nipo poa pia , Mungu ni mwema .
Nikishamnunia ucheke tena😒😒😒Nimecheka hapa hadi nimekaa chini![]()
Nikishamnunia ucheke tena![]()
Subiri uone😬Huna ubavu wa kumnunia
Sasa hivi nimelala..nikiamka saa mbili usiku niangalie majina kbs madamkomaaa hapahapa Chimbo zuri ni hapa selfika hakuna mwingine. Uzuri hapa hata kuwaona unawaona in selfie mode!!!



Mimi nyumbani kwetu ndiyo kama last born, at the same time ndiyo kama first born. Kwa hiyo pa kudeka ninadeka, pa kugangamala ninagangamala kweli kweli.
Yaani ukae na baba HS na asikusimulie matendo makuu ya "kijana" wake HS aah wapi (alizoea kuniita kijana wake huko kwa wenzie; so nina udume na ujike pia). He loved me so so much, i was and still his pride.....![]()