Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Aisee nimekuwa last born for twenty years + hasa hivi nimewatoroka ila it feels goods Mzee huwa ananitambulisha kama last born hadi sasa nina wadogo wawili kwa baba ..

Utulivu wapi , mie muongeaji noma hapa nyumbani mie ndo kama mkubwa wakati mimi ndo mdogo hapa nyumbani .
Aisee😂😂😂
Ila uzuri wa malastborn hatupendi unyonge.
 
Ewaaa hapo hata kumuhubiria mtu injili anakuelewa mapema. Sio mlokole hataki hata kuoga kisa yuko busy na injili; imagine unampiga mtu kizinga afu uje umwambie "Yesu ni mzuri, okoka au receiveeeee"; ni ngumu wapendwa. Poverty shall never be our portion IJN

Marko 10:29-30.
29. Yesu akasema, Amin, nawaambieni, Hakuna mtu aliyeacha nyumba, au ndugu waume, au ndugu wake, au mama, au baba, au watoto, au mashamba, kwa ajili yangu, na kwa ajili ya Injili,

30. Ila atapewa mara mia sasa wakati huu, nyumba, na ndugu waume, na ndugu wake, na mama, na watoto, na mashamba, pamoja na udhia; na katika ulimwengu ujao uzima wa milele.
Saint Anne
Baada ya hapo Next week.. nakula nondo za pesa pesaa.. nitarudi baada ya kumaliza robo tatu ya hivi vitabu mlokole ninaependa pesaaa na rahaaaa View attachment 2080302View attachment 2080303View attachment 2080304View attachment 2080305
 
Back
Top Bottom