kwani unadhani kwenye picha sijaona!? unadhani picha za wanafunzi sizioni eti!? raha ya horsepower kubwa ivute mzigo wa maana sasa nianze kuhangaika na watu wa miaka 16 wa nini....
please nifungulie nikusalimie tu salamu tuuu..
Siwezi kuwa mention wote mkuu..Saigon dah jamaa anajua sn Yule
Fid q mwonekano unamkost Kwa wadada so sijashangaa kutomkubali..Ila kichwa take imejaa madini sn
Ukipiga reverse kutoka Chit Chat utafika mtaa wa JF Social Forums, ukiingia kwenye huo mtaa achana na kona ya kwanza ya Urembo, pita Jamii, pita Celebrities then ingia kona ya Mahusiano. Nyumba ya kwanza kabisa kwenye hiyo kona ya Mahusiano ndo kwenyewe!
Siwezi kuwa mention wote mkuu..Saigon dah jamaa anajua sn Yule
Fid q mwonekano unamkost Kwa wadada so sijashangaa kutomkubali..Ila kichwa take imejaa madini sn