Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,222
Asante! Yeah sifa na utukufu ni kwakeAshukuriwe sana Mungu. Pole pia.
!Asante! Yeah sifa na utukufu ni kwakeAshukuriwe sana Mungu. Pole pia.
!Daaahhh!!!huzuniYaniiiii! Mimi nilimkumbuka zaidi nilivoona hilo daraja.. saivi wachina wanajenga kwa kurelax sana wakati enzi hizo ilikua usiku na mchana hakuna kulala!! View attachment 2077279
Sanaaa! Huko nimeona mabango yake ya Hapa kazi tu bado yamejaa mengi kweli kweli mabarabarani masikini nilivoyaona nimeumia sana!!Daaahhh!!!huzuni
Imenitokea mimi kupewa connection Na rafiki nikatoboa Na ndugu yangu niliyemwamini akanipiga chini.Wacheni Mungu aitwe Mungu.kwenye maisha yangu yote ya hapa duniania nitakuwa natoa Kwa wahitaji![]()
na mimi ni muhitaji naomba usinisahau
Kweli ndugu wakati mwingine ni kama maadui fulani hivi, lakini maagizo ya Mungu ni kwamba usijitenge na mtu mwenye damu nawe.Imenitokea mimi kupewa connection Na rafiki nikatoboa Na ndugu yangu niliyemwamini akanipiga chini.Wacheni Mungu aitwe Mungu.kwenye maisha yangu yote ya hapa duniania nitakuwa natoa Kwa wahitaji![]()
Wapendwa wengi wao ni wanafki Na wasengenyaji.nisishanbuliwe Na wapendwa humu ndani ninauhakika 💯 Na nilichokiandikABrod darling; mimi mahusiano ya kuishi kimachale yalishanishida; wakinigeuka basi ntayapokeaga hukohuko mbeleni. In the meantime; nimeamua kumwamini Mungu kwa ajili yao.
Unawajua wapendwa vizuri?
Sorry ndio daraja la Busisi?Yaniiiii! Mimi nilimkumbuka zaidi nilivoona hilo daraja.. saivi wachina wanajenga kwa kurelax sana wakati enzi hizo ilikua usiku na mchana hakuna kulala!! View attachment 2077279
Ndio mkuu! Wanaendelea kujenga ila kasi imepungua sanaSorry ndio daraja la Busisi?
Najua unajua ninachomaanisha wahitaji.ninamaisha ya kawaida mnooo lakini kuna watu tunamaisha ya dhiki kabisa hata chakula kununua hatuna huo uwezo.nimeishi kwenye maisha ya dhiki miaka mingi kidogo imepita so ninaelewa wahitaji wanahitaji faraja Na Msaada Kwa kiwango gani.na mimi ni muhitaji naomba usinisahau
![]()
Kuna ndugu lazima nikae nao mbali.unafiki sipendi fulustopKweli ndugu wakati mwingine ni kama maadui fulani hivi, lakini maagizo ya Mungu ni kwamba usijitenge na mtu mwenye damu nawe.
😍😍😍😍😍Imenitokea mimi kupewa connection Na rafiki nikatoboa Na ndugu yangu niliyemwamini akanipiga chini.Wacheni Mungu aitwe Mungu.kwenye maisha yangu yote ya hapa duniania nitakuwa natoa Kwa wahitaji 💯
Hanifer Mungu azidi kukutunza mama 🥰🥰🥰Boss negative energy inavuta vitu vibaya always,usiangaike sanaa ya mabadiliko ya binadamu wewe timiza wajibu wako, somebody say karma is...... Unajua hakuna mwema dunia kiasi kwamba hakosei,ni vile tunajifunza namna ya kuishi na madhaifu ya wengine kama wengine pia wanavyojifunza kwetu.
Ila still duniani kuna watu wenye roho za dhahabu kiasi kwamba humkinai kamwe.
Mungu awabariki wote msio na roho ya korosho na wazidishie maradufu kama alivyombariki mtumishi wake Suleiman.
Bado mie zamu yangu kukukarimuuu 😋😋😋Nishatoka mwanza. Mkuu T 1990 ELY alinikarimu vizuri sana. Namshukuru sana Na hapa nilikua nimejipumzisha baada yakuvimbiwa chakulaView attachment 2077350
Hahahaaa...noted.. next week will be huko!Bado mie zamu yangu kukukarimuuu![]()
AminaThanks God I have arrived safely!!Nilishukia hapa jioni ....
Nasasa nimejipumzisha kidogo aseeView attachment 2077281
Mkuu T 1990 ELY nashukuru Mungu nimefika salama.. ubarikiwe sana mkuu![]()
😊😊😊😊 ma caring nitamfunika T 1990 ELYHahahaaa...noted.. next week will be huko!
Asante rafiki. Nikifika mida ya saa 10 jioni kumbe sio mbali kama walivokua wananitisha kuwa tutafika usiku sana
Hio rangi ya kucha nzuri lakini haijaishinda rangi yakoTuendelee kuselfika!View attachment 2077335
Kumbe sio mimi mwenyewe naumiaSanaaa! Huko nimeona mabango yake ya Hapa kazi tu bado yamejaa mengi kweli kweli mabarabarani masikini nilivoyaona nimeumia sana!!
