Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 12,105
- 35,136
Sijui kama watalimaliza kwa kweli, labda kwa sababu ya ni serikali mikopo maybe likatakamilikaNdio mkuu! Wanaendelea kujenga ila kasi imepungua sana
Sijui kama watalimaliza kwa kweli, labda kwa sababu ya ni serikali mikopo maybe likatakamilikaNdio mkuu! Wanaendelea kujenga ila kasi imepungua sana
Akhsante kushukuru mkuuAsante rafiki. Nikifika mida ya saa 10 jioni kumbe sio mbali kama walivokua wananitisha kuwa tutafika usiku sana
Sawa wa kishua🤗Baada ya masaa mengi in prayer room.. jioni kama hii napata uji wa mchele..
Saint Anne Chakorii ...uniletee uji basiiiView attachment 2077348
Mmmmmmmh
Ingawa nilikua natania, lakini ujumbe wako nimezipenda, binadamu pamoja na mengi tunayohitaji lakini faraja ni ya muhimu mno, bwana yesu wakati ana anza utumishi wake alijitambulisha kama aliyekuja kuwaponya waliovunjiwa moyo yaani kuwaoa faraja wenye huzuni.Najua unajua ninachomaanisha wahitaji.ninamaisha ya kawaida mnooo lakini kuna watu tunamaisha ya dhiki kabisa hata chakula kununua hatuna huo uwezo.nimeishi kwenye maisha ya dhiki miaka mingi kidogo imepita so ninaelewa wahitaji wanahitaji faraja Na Msaada Kwa kiwango gani.
Vidole havilingani



Wapendwa wengi wao ni wanafki Na wasengenyaji.nisishanbuliwe Na wapendwa humu ndani ninauhakikaNa nilichokiandikA
Usikae nao mbali moja kwa moja, haitakua tofauti na kuhukumu au kulipa kisasi, kitu asichopenda Mungu.Kuna ndugu lazima nikae nao mbali.unafiki sipendi fulustop
Akhsante sana kushukuru mpendwaNishatoka mwanza. Mkuu T 1990 ELY alinikarimu vizuri sana. Namshukuru sana Na hapa nilikua nimejipumzisha baada yakuvimbiwa chakulaView attachment 2077350

Eeh Kuna sehemu ilikua korofi sana sometimes abiria walikua wanalala hapo hata siku 3 mabasi yanakwama nasikia wameweka lami mwaka jana so leo tumeteleza tu fastaaa sa 10 tushafika mpandaAkhsante kushukuru mkuu
Barabarani ilikuwaga mbovu zamani
Ila mmewahi kufika
MUNGU NI MWEMA
Nihurumie nitajie basi
Utachonga vyasi(viazi)🤣Nihurumie nitajie basi
Kabisa yani Mungu aendelee kukutia nguvu uwe kijana mwema ivoivo leo Kesho nahata milele!🙏Akhsante sana kushukuru mpendwa
KARIBU SANA/TENA MWANZA
Siku nyingine usiwe na uoga na sisi/mimi ni mtu mwema kwako![]()
Ohhhh pole sana!Uwiii !!!
View attachment 2072135
Kumbe mziki wa Covid sio wa kitoto aisee. Juzi usiku nilifikiri this is it. I am done on this planet lakini Mungu si Athumani aisee jua likachomoza salama
Ulikuwa ni mwendo wa ku-monitor presha, kiwango cha Oksijeni na joto la mwili - indicators 3 za muhimu sana kwa mgonjwa wa Covid.
View attachment 2072137
Mwili bado haujakaa sawa 100% ila ni mwendo wa malimau na tangawizi kwa sana. Nimeweza hata kwenda jogging leo. Mungu ni mwema aisee...Maisha...Uhai!
View attachment 2072141
Nishauacha Eli 🤣🤣acha ukuda!
Usiogope kuwa jua watu ndugu yangu.saa nyingine jifanye unatatizo halafu mwambie(kumtega)majibu Yake utajua hapa ninamtu au mzigo au snitch.njia za kuwajua ni nyingi Kama kweli Uko serious unataka kuchuja kupata marafiki.mingine yanaruhusiwa kutokea Kwa sababu.si kila mtu ni mbaya Na snitchNipo conscious sana katika kutengeneza urafiki, snitches wamejaa sio poa. Mtu anakutengenezea tukio ukishtuka kasepa unabaki kulia.
Amina mpendwaKabisa yani Mungu aendelee kukutia nguvu uwe kijana mwema ivoivo leo Kesho nahata milele!![]()
Kwema mkuu habari yako kijana
vipi mkuu T 1990 ELY salama lakini 🙄🙄
Kijana wako nipo tuu sina nenoKwema mkuu habari yako kijana