Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nakukubalia kabisa mkuu, ukipata rafiki wa kweli utafurahia. Nakumbuka nilinunua mzigo wa mchongo nikawekwa ndani, nikampigia simu jamaa yangu, ndani ya dk 10 yupo polisi na keshafanya yake, naitwa tu kazi imeisha natoka.

Ila ukipata snitches utafurahia ya dunia.
🤣🤣🤣🤣
Kimchongo ukatoka ndani😁
 
Bado usiseme mmefika huko, safari bado ni ndefu sana. Shukuru Mungu tu hadi saivi mnaenda sawa, siku yakiharibika.....sema nyie mnaweza kuwa wapendwa katika Kristo hilo linasaidia kidogo
Boss negative energy inavuta vitu vibaya always,usiangaike sanaa ya mabadiliko ya binadamu wewe timiza wajibu wako, somebody say karma is...... Unajua hakuna mwema dunia kiasi kwamba hakosei,ni vile tunajifunza namna ya kuishi na madhaifu ya wengine kama wengine pia wanavyojifunza kwetu.
Ila still duniani kuna watu wenye roho za dhahabu kiasi kwamba humkinai kamwe.
Mungu awabariki wote msio na roho ya korosho na wazidishie maradufu kama alivyombariki mtumishi wake Suleiman.
 
Thank youuu.. Wakati mwingine ni negativity zetu ndiyo zinawavuta watu wawe sawa na kile tunachowawazia/kuwanenea. Mtu yeyote anaweza kubadilika wakati wowote; lakini ni vyema kujifunza kuwa positive zaidi. Si vyema kuwawazia watu/kuwahukumu kwa vitu ambavyo hawajakufanyia bado; you won't enjoy them
Boss negative energy inavuta vitu vibaya always,usihaike sanaa ya mabadiliko ya binadamu wewe timiza wajibu wako, somebody say karma is...... Unajua hakuna mwema dunia kiasi kwamba hakosei,ni vile tunajifunza namna ya kuishi na madhaifu ya wengine kama wengine pia wanavyojifunza kwetu.
Ila still duniani kuna watu wenye roho za dhahabu kiasi kwamba humkinai kamwe.
Mungu awabariki wote msio na roho ya korosho na wazidishie maradufu kama alivyombariki mtumishi wake Suleiman.
 
FB_IMG_1641900855340.jpg
 
Si unajua mzigo hauna risiti, kutaka kitonga mtu unashangaa pilato kapita na wewe...mzigo unanunua laki sita unapigwa faini ya mil.3. Upumbavu mtupu

Mwana anakuja, anabonga na askari..anamuweka freshi ili mwamba usiaibike kulala ndani...!!
😂😂😂😂😂.
Huu mchezo nauelewa vizuri,nauona kwa wateja wangu hapa .
 
Back
Top Bottom