Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Tengeneza connection na watu usitengeneze urafiki, ipo siku marafiki uliowatengeneza watakugeuza chakula cha kula maana "kikulacho kinguoni mwako!", Siyo rahisi rafiki akakubali upate zaidi yake!

Haya maneno ya kweli?
Boss nina marafiki wachache ambao hata wakisikia simu yangu saa 7 usiku watapokea na kunisikiliza. Changamoto ya leo binadamu tunaviziana,tunaishi maisha ya kuigiza sanaa,kiasi cha mwingine kukukinai mapema.
Kama unataka marafiki wema,kuwa mwema,ishi vyema na kwa uhalisia.
Mwangalie David wakati Samuel anaenda kumpaka mafuta,si unakumbuka ilivyowauma ndugu zake,je Nathaniel ni kwa kiasi gani alimsaidia?!
Anyway,kupanga ni kuchagua.
 
Boss nina marafiki wachache ambao hata wakisikia simu yangu saa 7 usiku watapokea na kunisikiliza. Changamoto ya leo binadamu tunaviziana,tunaishi maisha ya kuigiza sanaa,kiasi cha mwingine kukukinai mapema.
Kama unataka marafiki wema,kuwa mwema,ishi vyema na kwa uhalisia.
Mwangalie David wakati Samuel anaenda kumpaka mafuta,si unakumbuka ilivyowauma ndugu zake,je Nathaniel ni kwa kiasi gani alimsaidia?!
Anyway,kupanga ni kuchagua.
Nakukubalia kabisa mkuu, ukipata rafiki wa kweli utafurahia. Nakumbuka nilinunua mzigo wa mchongo nikawekwa ndani, nikampigia simu jamaa yangu, ndani ya dk 10 yupo polisi na keshafanya yake, naitwa tu kazi imeisha natoka.

Ila ukipata snitches utafurahia ya dunia.
 
Nakuunga mkono. Wengine tumeshakuwa familia sasa; tumepitia mengi ya huzuni na ya furaha kwa pamoja. Mungu atusaidie tuzeeke pamoja.

Boss nina marafiki wachache ambao hata wakisikia simu yangu saa 7 usiku watapokea na kunisikiliza. Changamoto ya leo binadamu tunaviziana,tunaishi maisha ya kuigiza sanaa,kiasi cha mwingine kukukinai mapema.
Kama unataka marafiki wema,kuwa mwema,ishi vyema na kwa uhalisia.
Mwangalie David wakati Samuel anaenda kumpaka mafuta,si unakumbuka ilivyowauma ndugu zake,je Nathaniel ni kwa kiasi gani alimsaidia?!
Anyway,kupanga ni kuchagua.
 
Nakuunga mkono. Wengine tumeshakuwa familia sasa; tumepitia mengi ya huzuni na ya furaha kwa pamoja. Mungu atusaidie tuzeeke pamoja.
Bado usiseme mmefika huko, safari bado ni ndefu sana. Shukuru Mungu tu hadi saivi mnaenda sawa, siku yakiharibika.....sema nyie mnaweza kuwa wapendwa katika Kristo hilo linasaidia kidogo
 
Brod darling; mimi mahusiano ya kuishi kimachale yalishanishida; wakinigeuka basi ntayapokeaga hukohuko mbeleni. In the meantime; nimeamua kumwamini Mungu kwa ajili yao.

Unawajua wapendwa vizuri?
Bado usiseme mmefika huko, safari bado ni ndefu sana. Shukuru Mungu tu hadi saivi mnaenda sawa, siku yakiharibika.....sema nyie mnaweza kuwa wapendwa katika Kristo hilo linasaidia kidogo
 
Back
Top Bottom