Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Baada ya masaa mengi in prayer room.. jioni kama hii napata uji wa mchele..

Saint Anne Chakorii ...uniletee uji basiiiView attachment 2077348
Nakukumbusha
A69E7490-0017-43A7-8838-C51D6A9CC038.png
 
Ingawa nilikua natania, lakini ujumbe wako nimezipenda, binadamu pamoja na mengi tunayohitaji lakini faraja ni ya muhimu mno, bwana yesu wakati ana anza utumishi wake alijitambulisha kama aliyekuja kuwaponya waliovunjiwa moyo yaani kuwaoa faraja wenye huzuni.

Nakuombea ukafanikiwe kutekeleza azma yako hio.
Amen.Na ikawe kama unenavyo
 
Na mimi ni mpendwa ujue, unataka nikuchambe? Unakijua kichambo cha mama Mchungaji?

On a serious note; wapendwa ni watu wa kawaida tu kama watu wengine. Wapo ambao wanajiona wao ni watakatifu kwa sababu ya makanisa wanayoabudu; na wapo ambao sisi tunawaona wanajifanya ni watakatifu kwa sababu tu lifestyle yao ni kwenda kanisani mara nyingi/ kwa sababu wanasali kanisa fulani. But wote ni binadamu ambao tunapambana na jambo moja au lingine. Kuna watu wanakimbilia makanisani kwa sababu kuna dhambi ambazo wamejitahidi kupambana nazo kwa akili zao wakaona hawawezi wenyewe; bora kusurrender kwa Sir God. Kuna watu ambao wewe unaweza ukawaona "wamesimama vizuri na Mungu"; hadi ukajiona wewe ni mchafu mbele yao; but wakija kukuelezea struggles zao za dhambi unajikuta unajiona malaika kwa muda. So kanisani ni mahali sahihi sana kwa sisi wenye dhambi.

"There is none righteous, no, not one "(Romans 3:10 NKJV). No one is immune to sin.........
Usinichambe mama mchungaji.Ila upendwa wako wewe unaonekana mpka kwenye mwandiko🤣🤣

Nashukuru umezungumzia makundi yote mawili.Ila wapo
 
Usiogope kuwa jua watu ndugu yangu.saa nyingine jifanye unatatizo halafu mwambie(kumtega)majibu Yake utajua hapa ninamtu au mzigo au snitch.njia za kuwajua ni nyingi Kama kweli Uko serious unataka kuchuja kupata marafiki.mingine yanaruhusiwa kutokea Kwa sababu.si kila mtu ni mbaya Na snitch
Wanaotuumiza ni wale tunaowaamini sana, huwezi kumwamini mtu kama hujamfanya kuwa rafiki. Unamwamini hadi kumkopesha milioni kadhaa na kuamini zitarudi...au unampa na kusahau kama ulimpa 500k atatue mambo yake.

Tatizo ni pale unamfanya mtu kuwa so close, anapata majanga unaona aaah huyu si mtu muhimu sana kwangu, ngoja nimpe hata 2m atarudisha, weeeee....majibu unayo!

Pesa inaweza isiwe issue, snitching kwangu ni issue kubwa. Unaishi na rafiki kunguni, anachukua hili anapeleka kule analeta huku anavuruga tu, siku ukijua it's late. Choose your friends with care aisee!!
 
Back
Top Bottom