Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,222
dah!! Maji Acha kabisa...Kwa kweli
Mimi mwenyewe habari za maji sitaki kabisa kusikia.
dah!! Maji Acha kabisa...Kwa kweli
Mimi mwenyewe habari za maji sitaki kabisa kusikia.
Basi huwezi amini mie nakuwa huru zaidi nikivaa pensi na suruali kuliko magauni au sketiNitakufundisha kuvaa.
Kama pensi haijakudondosha basi amini kitenge unakuwa huru zaidi kuliko hayo manguo ya kuitwa pensi.


Aahh Pestana siyo chaguo langu sema basi tu nilikuwaga naenda sababu ya company. Kiwanja kimejificha sana kile mie napenda viwanja ambavyo viko mjini tena barabarani kabisa kama Bambalaga hivyo vinakuwaga hata kukabwa siyo rahisi.Kwa Ke, kipensi kile hakikua na ishu, ndio maana nikasema kua alikivaa mwanaume (if you know you know). Ke wengi tu huvaa kama ulichovaa wewe jana na hawasumbuliwi. Ila pia isiwe too much.
Hata hivyo mimi sio reference nzuri sana ya maeneo ya namna hii. Niliku-poke kidogo tuu kukuhakikishia kua pestana sio kwa aina yako, ila ukienda hawafukuzi, wakifungua usisite, ikiwa ndio chaguo lako.
Nipo conscious sana katika kutengeneza urafiki, snitches wamejaa sio poa. Mtu anakutengenezea tukio ukishtuka kasepa unabaki kulia.Wapo ingawa ni wachache Ila ukiwaona ni kama wanafanana.
Matron hata wewe unakabika kweli..Aahh Pestana siyo chaguo langu sema basi tu nilikuwaga naenda sababu ya company. Kiwanja kimejificha sana kile mie napenda viwanja ambavyo viko mjini tena barabarani kabisa kama Bambalaga hivyo vinakuwaga hata kukabwa siyo rahisi.
😆Ningejiskia mwenye kubarikiwa sana hii ningekutana nayo pale kwa ndugu Kassim Majaliwa ikiwa haina hiyo saa 😅
Haha siku unaweza kuwa umevaa kawaida tu huna chochote cha kujihami. Wakikutime wale siyo poa asee.Matron hata wewe unakabika kweli..
Kweli wahuni wajasiri sana.
Btw, karibu revola hapa, tunapunga upepo kidogo
🤣🤣 Aombaye hupewa....sisemi uongo ndugu zangu😆
Uko vizuri sana kwenye misamiati baba mtumishi.
Ngoja tumsikilize Roho wa Bwana anavyosema,,huenda ukaipata.
Nakubali nakubalii asee..Haha siku unaweza kuwa umevaa kawaida tu huna chochote cha kujihami. Wakikutime wale siyo poa asee.
🙈😝🤣🤣 Aombaye hupewa....sisemi uongo ndugu zangu
Natumaini umefika salamaKwa hisani ya mizengo pinda!]View attachment 2077286
Pole kwa kua haupo pekeyako usiogoeeNaogopa sana kuvuka majini kwa chombo chochote kile!View attachment 2077260
Shukrani rafiki nilivuka salama...yeah Mungu yu pamoja nasiPole kwa kua haupo pekeyako usiogoee
Kabisa mkuu..nilifika mwanza salama nikalala salama nikadamkia kuelekea mpanda sasa nishafikaNatumaini umefika salama
Ashukuriwe sana Mungu. Pole pia.Kabisa mkuu..nilifika mwanza salama nikalala salama nikadamkia kuelekea mpanda sasa nishafika