Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahaa kumbe vipensi hawaruhusu bora umeniambia mapema maana nilikuwa na mpango siku niende nimetinga pensi. Enhe kwahiyo niambie ni mavazi gani ambayo ukivaa hawakuzingui.
Kwa Ke, kipensi kile hakikua na ishu, ndio maana nikasema kua alikivaa mwanaume (if you know you know). Ke wengi tu huvaa kama ulichovaa wewe jana na hawasumbuliwi. Ila pia isiwe too much.

Hata hivyo mimi sio reference nzuri sana ya maeneo ya namna hii. Niliku-poke kidogo tuu kukuhakikishia kua pestana sio kwa aina yako, ila ukienda hawafukuzi, wakifungua usisite, ikiwa ndio chaguo lako.
 
Back
Top Bottom