Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ndiyo mfanye sasa mkutane mahali fulani kuomba; msisahau na kufanya duet ya worship moja amazing
🙄🙄🙄 sijuagi kuomba na mtu.. sehemu kubwa ya maombi yangu ni silence prayer.. na maombi ya meditation.. na kuhitaji utulivuuu tuuu.. kukiwa na combinega naweza anzisha story tu 😂😂😂
 
Taratibu ndiyo mwendo. Sasa hivi si unaona unaflow tu?
Naflow wapi🤣😂🤣
Sema tu naishukuru ile shule,tulianza form 1 na Bible knowledge ni lazima,upende usipende.
Hapo wenzangu na mimi wa shule za vidumu na mfagio tulipoteana sana..kiingereza cha kawaida chenga,,tunapigwa tena na cha Biblia😂🙌😂🙌
 
Mnakwenda tu mahali penu, then mkifika kila mtu anaendelea na style yake ya kuomba. Sio lazima muwe na muongozo wa kuomba. Au ukimuona jirani yako pembeni inakupunguzia concentration?
sijuagi kuomba na mtu.. sehemu kubwa ya maombi yangu ni silence prayer.. na maombi ya meditation.. na kuhitaji utulivuuu tuuu.. kukiwa na combinega naweza anzisha story tu
 
Back
Top Bottom