Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248
Asante.Dah! weekend ikifika karibu![]()
Nilimtafakari sanaa huyu mtoto, eeeeh MUNGU tuhurumie sisi waja wako,kwa lolote tunalotenda kwa kujua/kutokujua ambayo yanasababisha wengine waangamize maisha yao na ya wasiohusika.
Naja dodoma aseee 🙂🙂🙂.. au upo njiani kurudi DsmOohh basi fika maeneo hayo ukajipatie balimi![]()
But kuna aina nyingi za maombi, na kuna maombi ya location.. kuna aina flani ya maombi huwa yanahitaji location.. portal tofauti na ulipo.. kuna portals nyingi sanaaaaaaa.. 😊😊Asante.
Ila nishalikamata wingu la daslam.
Na ndio maana kuna kipindi Mungu alikuwa anawaambia watu wake wakutane mahala flani.. haikuwa kila siku katika eneo moja 🙂🙂Asante.
Ila nishalikamata wingu la daslam.


satan knows what a person becomes when he/she is a regular bible reader. So anafanya kila awezacho ili kuzuia watu wasisome
btw, unatumia bible yenye kingereza kigumu![]()
Kuifanya hii inahitaji kujipanga kidogo.But kuna aina nyingi za maombi, na kuna maombi ya location.. kuna aina flani ya maombi huwa yanahitaji location.. portal tofauti na ulipo.. kuna portals nyingi sanaaaaaaa.. 😊😊
Yaah! inahitaki kamufuko kazuri kidogo.. maana mie kwa dodoma kuna mahala nikiingia ni kama palikuwa pana nisubiriKuifanya hii inahitaji kujipanga kidogo.
Nikikumbuka nilivyokuwa najikanyanga na kiingereza cha kwenye somo la Bible knowledge nabaki nacheka😂Janja yake ni tukose maarifa ili tuangamizwe.
Hiyo ni King James Version![]()
Hako kamfuko kanahitaji muda,january hii😁Yaah! inahitaki kamufuko kazuri kidogo.. maana mie kwa dodoma kuna mahala nikiingia ni kama palikuwa pana nisubiri


Na ndio maana kuna kipindi Mungu alikuwa anawaambia watu wake wakutane mahala flani.. haikuwa kila siku katika eneo moja![]()
Taratibu ndiyo mwendo. Sasa hivi si unaona unaflow tu?Nikikumbuka nilivyokuwa najikanyanga na kiingereza cha kwenye somo la Bible knowledge nabaki nacheka![]()



🙄🙄🙄 sijuagi kuomba na mtu.. sehemu kubwa ya maombi yangu ni silence prayer.. na maombi ya meditation.. na kuhitaji utulivuuu tuuu.. kukiwa na combinega naweza anzisha story tu 😂😂😂Ndiyo mfanye sasa mkutane mahali fulani kuomba; msisahau na kufanya duet ya worship moja amazing![]()
😂😂😂😂 Njaaaanuary eeeh..Hako kamfuko kanahitaji muda,january hii😁
Naflow wapi🤣😂🤣Taratibu ndiyo mwendo. Sasa hivi si unaona unaflow tu?![]()

sijuagi kuomba na mtu.. sehemu kubwa ya maombi yangu ni silence prayer.. na maombi ya meditation.. na kuhitaji utulivuuu tuuu.. kukiwa na combinega naweza anzisha story tu
![]()


Naflow wapi
Sema tu naishukuru ile shule,tulianza form 1 na Bible knowledge ni lazima,upende usipende.
Hapo wenzangu na mimi wa shule za vidumu na mfagio tulipoteana sana..kiingereza cha kawaida chengs,,tunapigwa tena na cha Biblia![]()
Hotelini.. itakuwa chumba kimoja mama mchungaji 😀😀😀😀Mnakwenda tu mahali penu, then mkifika kila mtu anaendelea na style yake ya kuomba. Sio lazima muwe na muongozo wa kuomba. Au ukimuona jirani yako pembeni inakupunguzia concentration?![]()