Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Kabisa yaani.ukideka dekezwaaa.. wasikutishe, wanakuonea wivu tuuu
Halafu uhuru wamenipa wenyewe yaani,
Mfano yule maza yaani ananidekeza hata kinguvu..sasa mimi nifanyeje

Kabisa yaani.ukideka dekezwaaa.. wasikutishe, wanakuonea wivu tuuu

Dom uelekeo chini au juu😁😁Bahi
MjiniDom uelekeo chini au juu![]()
Karibu sana mkuu.. townMjini
Haya bhana..ngoja tuendelee kunywa uji wa mchele huku mtaani..huko marrybrown,Epido’r,kalambezi Na kwingineko tunawaachia ninyi bhana😧😧😧😧😧.. migawaha ya watu wa chini kabisaa hii hakuna cha ukishua wala babu yale na ukishuwa
Patamu hapoNa mtaa umekugomea kuusumbua sasa 😂😂😂
Ooh yeahKuna vile vinavyokuwa na maneno tayari.
Miaka ya 2010 vilivuma sana hivi vidude.
Usiku sana nitaingiaKaribu sana mkuu.. town
Uji wa mchele naupenda sana huwa naupata sana huu.. tengenzeza tuje kunywaaa sufuria kubwa alafu huwa unalate njaaaHaya bhana..ngoja tuendelee kunywa uji wa mchele huku mtaani..huko marrybrown,Epido’r,kalambezi Na kwingineko tunawaachia ninyi bhana
Maboss wetu bwanaaa wana pressure sanaaa 😁😁😁Usiku sana nitaingia
Moja kwa moja kupakia
Simu kama zote hapa
Khaa!
Imeisha hiyo nitakutengenezeaUji wa mchele naupenda sana huwa naupata sana huu.. tengenzeza tuje kunywaaa sufuria kubwa alafu huwa unalate njaaa
Lakini napenda zinapishana..Maboss wetu bwanaaa wana pressure sanaaa![]()


😁😁😁😁Lakini napenda zinapishana..
Maana
Kwa muda sitauzwa kama mbolea![]()
Mhola sana ng'wanikeJana na leo.
Wadila mhola?

Wabeja ssnaMhola sana ng'wanike
Hivi kumbe ni mali safi kabisa halafu ya kienyeji...
Nimekupenda bure kwa kweli![]()

Usiniangushe T 1990 ELY .. Chakorii asie mpweke.. na mahondaw kila kitu kiende sawa😊😊Mhola sana ng'wanike
Hivi kumbe ni mali safi kabisa halafu ya kienyeji...
Nimekupenda bure kwa kweli![]()
UtanikutaJumatano ijayo!
"THE MYSTERY OF GIVING".Njia nitumiayo kujibiwa haraka ni giving kwa mtu mwenye some need na mie.. kama nahitaji gari au kama nahitaji kiasi flani cha pesa huwa natoa hadi sent yangu ya mwisho.. huwa napigika kwa mda ila huwa najibiwa haraka sanaaa.. na kwa kitu kilicho bora for me ina work sana hii

Na vinaendeshaga hivyooo. We acha