Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Dah yaani umenichekesha,,jana mama na dada wanaingia chumbani kwangu,wakaingia haraka haraka wakafunga mlango..nikaanza kucheka.
Dada akawa anacheka huku anasema yaani hadi chumbani tunaingia kwa hesabu tushajitune😂maana tunajua tukiacha mlango wazi hapa mbu wakaingia mambo yatakuwa si mambo🤣mziki wangu🤣😂
Eti kitoto kidogo cha juzi unataka kutuendesha watu wazima🤣🤣🤣
Jitahidi tu upunguze kuendesha watu maana tabia ikikomaa itakuja kukusumbua baadae.katika maisha ya mahusiano.

🤣🤣ni shida
 
Ngoja kesho kutwa kama hivi yaanin😁😁😁
Nimeitunza
F1D36D16-67F2-4483-B65C-320D5D3A1342.png
 
Back
Top Bottom