Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

What a coincidence....

Mungu akawe forced kutujibu maombi yetu this year. Tusiombe maombi ambayo yatakosa kibali mbele za Mungu; tumpe hoja zenye nguvu akajikute hana option nyingine zaidi ya kutujibu.

Njia nitumiayo kujibiwa haraka ni giving kwa mtu mwenye some need na mie.. kama nahitaji gari au kama nahitaji kiasi flani cha pesa huwa natoa hadi sent yangu ya mwisho.. huwa napigika kwa mda ila huwa najibiwa haraka sanaaa.. na kwa kitu kilicho bora for me ina work sana hii
 
Back
Top Bottom