Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Kaburudike na ule uziMaisha yafaa nini bila mzazi?
Kaburudike na ule uziMaisha yafaa nini bila mzazi?
Kama mama alivyomchamba mtu juzi kati flani hapa

What happened?? Bado umevaa barakoa tu
YeahWhat happened?? Bado umevaa barakoa tu
Naona Leo mmeamua kukomaa na wanaume ma Hb 🤣..sasa wafanysje na ndivyo MUNGU alivyowaumba? Eti Karma ?Mimi napenda kuwasifia tu ila kuwa nao kwenye mahusiano hapana kwa kweli. Wagumu wagumu ndio wenyewe.
Ifanye uivue Corona hamnaYeah
Ifanye uivue Corona hamna
navuaBora!navua
Endelea kutema nyongo🤣..tatizo wenyewe hawapo hawakusikii😅Wanaume wazuri wazembe.
Huu mwaka umekuja na kisirani Sana,Bora uishe tu😅Mkuu huenda hauonekani, mie hapa kama monitor mda wote nipo
Kwa sasa unaweza kuja mkuujinga kabisa
![]()
Sawa naja,niandalie mirinda nyeusi tu.Kwa sasa unaweza kuja mkuu
Bora!
Utashindwa kuhema bureeee

Hahaha......Sawa naja,niandalie mirinda nyeusi tu.
😂😂😂 kweli uko occupied sikuhizi, hadi unasahau weekendKumbe ni wekeend leo 😂
Kuchele dyadya kuchele 🤣🤣
Mwezi wenye siku 60😁Hahaha......View attachment 2073883