Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG_9269.jpg
 
Mungu akikupa nafasi ya kutenda jambo lililondani ya uwezo wako kwa yeyote anaehitaji msaada usiipoteze.
Watu wanateseka na vingi mioyoni mwao,na hawani wanao waamini kuwaambia.
Mungu awapunguzie adhabu wale wote waliokatisha uhai wao kwa sababu yeyote ile.
d98de482a5d8441199ce1df20d966d66.jpg
 
Basi mie kuwasifia kote kule nikajua ndiyo type zako. Binafsi sivutiwagi na wanaume wazuri sana wa sura.

Hata mwanaume nikiona anajisifia uzuri huwa namshangaa. Mimi ningekuwa mwanaume nisingetamani kuwa mzuri.

Kudate na mwanaume aliyenizidi uzuri kwa kweli inahitaji moyo. Unakuta mwanaume mrembo mweupe dooh.

Halafu nimegundua wanawake wengi tukishafikia umri fulani huwa hatupendi wanaume wazuri weupe. Labda vibinti ndiyo bado vinababaika na sura na rangi za wanaume.

Nina rafiki yangu anakuambia hawezi kabisa date mwanaume mweupe maana wakifanya huwa anahisi kutapika. Siwasemi vibaya wanaume weupe ila hao wana type zao tu kwa kweli.
Si haijawahi kujukikana huwa mnapenda nini haswa au ninini haswa mnataka.
 
Back
Top Bottom