Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Basi mie kuwasifia kote kule nikajua ndiyo type zako. Binafsi sivutiwagi na wanaume wazuri sana wa sura.

Hata mwanaume nikiona anajisifia uzuri huwa namshangaa. Mimi ningekuwa mwanaume nisingetamani kuwa mzuri.

Kudate na mwanaume aliyenizidi uzuri kwa kweli inahitaji moyo. Unakuta mwanaume mrembo mweupe dooh.

Halafu nimegundua wanawake wengi tukishafikia umri fulani huwa hatupendi wanaume wazuri weupe. Labda vibinti ndiyo bado vinababaika na sura na rangi za wanaume.

Nina rafiki yangu anakuambia hawezi kabisa date mwanaume mweupe maana wakifanya huwa anahisi kutapika. Siwasemi vibaya wanaume weupe ila hao wana type zao tu kwa kweli.
Mimi napenda kuwasifia tu ila kuwa nao kwenye mahusiano hapana kwa kweli. Wagumu wagumu ndio wenyewe.
 
Basi mie kuwasifia kote kule nikajua ndiyo type zako. Binafsi sivutiwagi na wanaume wazuri sana wa sura.

Hata mwanaume nikiona anajisifia uzuri huwa namshangaa. Mimi ningekuwa mwanaume nisingetamani kuwa mzuri.

Kudate na mwanaume aliyenizidi uzuri kwa kweli inahitaji moyo. Unakuta mwanaume mrembo mweupe dooh.

Halafu nimegundua wanawake wengi tukishafikia umri fulani huwa hatupendi wanaume wazuri weupe. Labda vibinti ndiyo bado vinababaika na sura na rangi za wanaume.

Nina rafiki yangu anakuambia hawezi kabisa date mwanaume mweupe maana wakifanya huwa anahisi kutapika. Siwasemi vibaya wanaume weupe ila hao wana type zao tu kwa kweli.
Wanaume weupe wana hali fulaani hivi, siwezi kumbishia huyo, tena wanaejuaga ni wachache sana, na wale wafukunyuku sana.

Vipi nitoboe siri hiyo?
 
Basi mie kuwasifia kote kule nikajua ndiyo type zako. Binafsi sivutiwagi na wanaume wazuri sana wa sura.

Hata mwanaume nikiona anajisifia uzuri huwa namshangaa. Mimi ningekuwa mwanaume nisingetamani kuwa mzuri.

Kudate na mwanaume aliyenizidi uzuri kwa kweli inahitaji moyo. Unakuta mwanaume mrembo mweupe dooh.

Halafu nimegundua wanawake wengi tukishafikia umri fulani huwa hatupendi wanaume wazuri weupe. Labda vibinti ndiyo bado vinababaika na sura na rangi za wanaume.

Nina rafiki yangu anakuambia hawezi kabisa date mwanaume mweupe maana wakifanya huwa anahisi kutapika. Siwasemi vibaya wanaume weupe ila hao wana type zao tu kwa kweli.
Mimi kukua kwangu kote na mashost zangu tulikuwa tunawa-admaya tall dark guys. Teh muda wa uhalisia sasa ulivyofika, ila sidhani kama kuna any of my friend ana mume mweupe; kwenye u-tall sasa teh.
 
images_edit_46277159045542.jpg
 
Back
Top Bottom