Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Kulewa ufukweni kuna raha yake
Sitii neno 🤐🤐🚶🚶🚶🚶🚶Utaona ulivyo na mawazo mabayaaa tu wewe na mahondaw 😁😁😁View attachment 2073644
Nani byurifu?Haha si wengine sura zetu haziruhusu kutoka na wanaume wacute. Hao tunawaachia tu ninyi byurifu ladies.



Wazembe halafu wana tabia ya kujisikia fulani hivi. Na ndiyo hao wanaoongoza kwa kuchagua wanawake na wanaamini kuwa kila mwanamke anawataka na anawashobokea kumbe wangejua wengine tunawachukulia kama vivulana ambavyo havijabalehe.Wanaume wazuri wazembe.
Halafu ukute kanakupelekesha aloo 🤭si katatandikwa ngumi za kutosha hadi kachubuke.Wazembe halafu wana tabia ya kujisikia fulani hivi. Na ndiyo hao wanaoongoza kwa kuchagua wanawake na wanaamini kuwa kila mwanamke anawataka na anawashobokea kumbe wangejua wengine tunawachukulia kama vivulana ambavyo havijabalehe.
Dooh naimagine eti kamwanaume kacute ndiyo kananioa mimi halafu na kenyewe kanajiita baba wa familia nyieee mbona ngumu kumesa. Nitakaonea bure tu jamani maana nitakuwa nakaona kavulana hiyo nafasi inawafaa wanaume wenye sura za kiume.
Maisha yafaa nini bila mzazi?Na muache hizi story zenu; wanyaki tutaanzisha ejooo humu![]()
Ulipata chamdorSitii neno 🤐🤐🚶🚶🚶🚶🚶
Hapana sijaagiza nilitingwa leo tena nimetingwa balaa!Ulipata chamdor
Kama mama alivyomchamba mtu juzi kati flani hapaWazembe halafu wana tabia ya kujisikia fulani hivi. Na ndiyo hao wanaoongoza kwa kuchagua wanawake na wanaamini kuwa kila mwanamke anawataka na anawashobokea kumbe wangejua wengine tunawachukulia kama vivulana ambavyo havijabalehe.
Dooh naimagine eti kamwanaume kacute ndiyo kananioa mimi halafu na kenyewe kanajiita baba wa familia nyieee mbona ngumu kumesa. Nitakaonea bure tu jamani maana nitakuwa nakaona kavulana hiyo nafasi inawafaa wanaume wenye sura za kiume.
Haha siwezi kukatandika jamani ila nitakuwa sikasikilizi tu yaani kila katakachokuwa kanasema nitakuwa naona kama kananipigia keleleHalafu ukute kanakupelekesha aloosi katatandikwa ngumi za kutosha hadi kachubuke.
Sijui wanajionaga vipi yaani,
Japo siyo wote.


😊😊😊 Sema basi keho tukaichapie mahala hivi.. huku tunapiga umbea na shosti etu cocasticHapana sijaagiza nilitingwa leo tena nimetingwa balaa!
Nani nduguyai auKama mama alivyomchamba mtu juzi kati flani hapa


Niaje aiseeee???Nani nduguyai au![]()
Mwishowe katoto ka watu kajinyonge,,,Haha siwezi kukatandika jamani ila nitakuwa sikasikilizi tu yaani kila katakachokuwa kanasema nitakuwa naona kama kananipigia kelele![]()
"Nimekosa mimi,nimekosa sana,nimekosa mimi"Kama mama alivyomchamba mtu juzi kati flani hapa
Mdogo wangu bhana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hapana usije tutaishia kugegedana tu na kuharibu sabato yangu mkuu![]()



jinga kabisa
Nani mwingine kama si wewe![]()